MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA
Habari

Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

WAZIRI Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema wafanyakazi wasipokuwa na chombo kinachoelezea mambo yao, watakuwa hawajajitendea haki.

Aidha amepongeza kurejea kwa gazeti la Mfanyakazi TANZANIA, ambalo lilikuwepo zamani likafa kisha limerudi tena.

Ridhiwani amesema hayo kwenye ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), jijini Dodoma alipokuwa akizungumzia kuanza tena kuchapishwa kwa gazeti la Mfanyakazi TANZANIA ambalo siku za nyuma lilikuwepo.

Amesema sio tu kwa wafanyakazi kuwa na chombo chao cha habari, bali hata wale wasio wafanyakazi watanufaika kupitia chombo hicho kwa kupata taarifa zinazohusu maslahi ya wafanyakazi, na taarifa nyingine.

“Uzinduzi kwanza wa gazeti la Mfanyakazi ni jambo kubwa sana, mambo mengi yanafanyika katika nchi, wafanyakazi kama hawatakuwa na chombo kinachowaelezea mambo yao hata wasio wafanyakazi wakapata taarifa za maslahi ya wafanyakazi watakuwa hawajajitendea haki,” amesema Ridhiwani.

Amesema endapo vyombo vya habari vikitumika vizuri vina nguvu ya kuunganisha, vikitumika vibaya vitabomoa.

Akimkaribisha Waziri Ridhiwani katika Mkutano huo, Rais wa shirikisho hilo Tumaini Nyamhokya amesema gazeti hilo limerudi tena.

Pia amesema katika mkutano huo, waliazimia litoke toleo maalum la mkutano.

Amesisitiza kuwa gazeti hilo litakuwa linaendelea kutoka na kwamba matamanio yao wangependa litoke mara mbili kwa wiki.

You Might Also Like

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

Serikali Yaanza Mchakato wa Kujenga Uwanja wa Ndege Kyabajwa

Udongo wa kupandia mboga mboga unapatikana VETA

TPDC na PURA Hakikisheni Watanzania Wananufaika na Rasilimali za Mafuta na Gesi- Salome

Maabara Ya Mkemia Mkuu Yashauri Wajasiriamali Wa Kemikali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article RC Serukamba Aiunga Mkono REAUgawaji Wa Mitungi Ya Gesi Iringa
Next Article Ridhiwani: Ili Kufikia Muafaka Masuala Ya Kazi, Serikali Inahimiza  Vyombo Vya Mashauriano
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Ziwa Ngozi Lavuta Mamia Sabasaba, Wageni Washangazwa Na Ramani Ya Afrika Juu Ya Mlima
Habari July 9, 2026
Shirika La Uzalishaji Mali La Polisi Kujenga Vituo Vya Ukaguzi Wa Vyombo Vya Moto
Habari July 9, 2026
Watumishi 7881 Watakaostaafu 2026/27 Watambuliwa Kupitia Kampeni Ya Tunalipa Jana-PSSF
Uncategorized July 8, 2026
Katambi Apongeza Zimamoto Kwa Uwekezaji Wa Vifaa Vya Kisasa
Uncategorized July 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?