MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Samia Aleta Mapinduzi Arusha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Samia Aleta Mapinduzi Arusha
Habari

Samia Aleta Mapinduzi Arusha

Author
By Author
Share
2 Min Read
Vituo vya Afya Vyapanda kwa Asilimia 71
Na Danson Kaijage
DODOMA: MKOA wa Arusha umefanikiwa kukusanya na kutumia Sh. Trilioni 3.5 katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ikiwemo kuboresha huduma za afya, miundombinu ya utawala na kuongeza pato la mwananchi.
Akizungumza jijini Dodoma katika ukumbi wa Idara ya Habari- MAELEZO kuhusu mafanikio ya miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan,Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi, amesema hayo.
Amesema mkoa huo umepiga hatua kubwa hasa katika sekta ya afya ambapo jumla ya vituo vipya vya afya nane vimejengwa, na kufanya idadi kufikia vituo 66, huku zahanati mpya 38 zikiongezwa na kufikisha jumla ya 350.
“Serikali imetoa zaidi ya Sh. Bilioni 94.2 kwa ajili ya huduma za afya pekee, ambapo Bilioni 57.07 zilitumika kwenye ujenzi wa majengo mapya, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya afya, na Bilioni 26 kwenye ununuzi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi,” amesema.
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa, upatikanaji wa dawa umeongezeka kutoka asilimia 65 mwaka 2021 hadi asilimia 93 mwaka 2025.
Amesema mashine za kisasa kama CT-Scan, ECHO, ECG na MAMOGRAPHY zimefungwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma za kibingwa.
Pia amesema huduma mpya za kibingwa 11 zimeanzishwa ikiwemo upasuaji, magonjwa ya figo, uchunguzi wa saratani, afya ya mama na mtoto, pamoja na mfumo wa mkojo.
Amesema katika sekta ya utawala, Sh. Bilioni 958.7 zimetumika kujenga majengo ya kisasa katika Halmashauri za Monduli, Ngorongoro, na Arusha Jiji ambapo ujenzi unaendelea, sambamba na ukumbi na nyumba ya Mkuu wa Mkoa.
Vile vile amesema ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo umeongezeka hadi kufikia asilimia 84, huku pato la mwananchi likipanda kutoka Sh. Milioni 3.2 mwaka 2020 hadi Milioni 3.6 mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 12.5.

You Might Also Like

Ofisi Ya Mwandishi Mkuu Wa Sheria Yakamilisha Rasimu Ya Sheria 446 Kwa Lugha Ya Kiswahili

Ndege Ya TPHPA Yatua Rasmi Kudhibiti, Kwelea Kwelea, Viwavijeshi, Nzige 

Ridhiwani Aipongeza Mahakama Kuzingatia Ajira Kwa Wenye Ulemavu

Homa ya nyani mjadala wa dharura kwa mawaziri wa afya Afrika

TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais CWT Asikitishwa Na Uzembe, Maofisa Wa Halmashauri
Next Article Ikomba: Aliishi Na Watoto Wiki Sita Akiwafundisha Kabla Ya Mtihani WaTaifa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mapinduzi ya Elimu Geita: Wasichana Wamerudi Shule kwa Kasi
Habari July 21, 2025
Vijana Ni Chachu Ya Maendeleo Endelevu Wakiwezeshwa-Kikwete
Habari July 21, 2025
Ikomba: Aliishi Na Watoto Wiki Sita Akiwafundisha Kabla Ya Mtihani WaTaifa
Habari July 21, 2025
Rais CWT Asikitishwa Na Uzembe, Maofisa Wa Halmashauri
Habari July 20, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?