MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea
Habari

Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: “Kipindi cha sasa hivi watu wanapenda chakula kinachotokana na mimea kwa sababu kina kiwango kidogo sana cha lehemu ‘cholesterol’ au hamna kabisa,”.

Mwanafunzi wa Mwaka wa nne kutoka Ndaki ya Sayansi na Teknolojia na Chakula, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) Joviet Kaijage amesema hayo katika Maonesho ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu yaliyoanza chuoni hapo.

Amesema kutokana na kupenda chakula kitokanacho na mimea, ameweza kufanya utafiti wa kutengeneza nyama ya mimea yenye mchanganyiko wa mbaazi na soya.

Joviet ambaye pia yupo Idara ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, amesema katika utafiti wake ameangazia eneo la kiafya zaidi jinsi watu kwenye ulaji wanapendelea nini.

Amesema chakula kisichokuwa na lehemu kinapunguza magonjwa ya moyo, masuala ya saratani baada ya kula nyama kwa muda mrefu sababu ya lehemu.

” Kwa hiyo ukiangalia kanuni niliyoitumia katika mchanganyiko huo wa nyama ya mimea, nimetumia mbaazi na soya.

” Mbaazi inapatikana pia Tanzania nimeweza kuiongezea thamani kwa kutengenezea nyama hiyo. Hii nyama inaliwa na watu wasiotumia nyama ya wanyama na wanaoitumia,” amesema.

Amesema hivi sasa watanzania ndio wameanza kuipata elimu ya kwamba kumbe kuna nyama ya mimea.

“Nyama Ya mimea ina faida, walaji watapata virutubisho kama ile wanavyopata kwenye nyama ya mnyama.

” Kwa hiyo protini ipi, vitamin ipo. Madini ya chuma yapo,” amesema.

Amesema kwenye utafiti wake huo anatumua njia za kimaabara.

You Might Also Like

Spika Tulia Kufungua Kongamano La Uhuru Wa Wanataaluma Afrika UDSM

Serikali Yaeleza Mikakati Ya Kuwezesha Vijana Katika Soko La Ajira

Serikali Yawapeleka Wauguzi 101 Nchini Saudi Arabia

Sera mpya ya viwanda kuzinduliwa

Majukwaa YA Dini Yaimarishe Mapambano Dhidi ya Magonjwa Ya Mlipuko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mipango Zaidi Msiba Wa Cleopa Msuya Kutolewa Na Serikali
Next Article Kamati YA Siasa Yaendelea Kukagua Miradi Ya Maendeleo Temeke
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wananchi Wahimizwe Ulioaji Kodi Kimtandao – Nyongo
Habari May 8, 2025
Mtindi wa Korosho, Stafeli Wafanyiwa Utafiti UDSM
Habari May 8, 2025
Shule 216 Za Serikali Zatumia Nishati Safi Ya Kupikia – Kapinga
Habari May 7, 2025
Ridhiwan Atembelewa Na Watendaji NMB
Habari May 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?