MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea
Habari

Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: “Kipindi cha sasa hivi watu wanapenda chakula kinachotokana na mimea kwa sababu kina kiwango kidogo sana cha lehemu ‘cholesterol’ au hamna kabisa,”.

Mwanafunzi wa Mwaka wa nne kutoka Ndaki ya Sayansi na Teknolojia na Chakula, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) Joviet Kaijage amesema hayo katika Maonesho ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu yaliyoanza chuoni hapo.

Amesema kutokana na kupenda chakula kitokanacho na mimea, ameweza kufanya utafiti wa kutengeneza nyama ya mimea yenye mchanganyiko wa mbaazi na soya.

Joviet ambaye pia yupo Idara ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, amesema katika utafiti wake ameangazia eneo la kiafya zaidi jinsi watu kwenye ulaji wanapendelea nini.

Amesema chakula kisichokuwa na lehemu kinapunguza magonjwa ya moyo, masuala ya saratani baada ya kula nyama kwa muda mrefu sababu ya lehemu.

” Kwa hiyo ukiangalia kanuni niliyoitumia katika mchanganyiko huo wa nyama ya mimea, nimetumia mbaazi na soya.

” Mbaazi inapatikana pia Tanzania nimeweza kuiongezea thamani kwa kutengenezea nyama hiyo. Hii nyama inaliwa na watu wasiotumia nyama ya wanyama na wanaoitumia,” amesema.

Amesema hivi sasa watanzania ndio wameanza kuipata elimu ya kwamba kumbe kuna nyama ya mimea.

“Nyama Ya mimea ina faida, walaji watapata virutubisho kama ile wanavyopata kwenye nyama ya mnyama.

” Kwa hiyo protini ipi, vitamin ipo. Madini ya chuma yapo,” amesema.

Amesema kwenye utafiti wake huo anatumua njia za kimaabara.

You Might Also Like

Serikali yazindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii na ‘Hifadhi Scheme’ kwa Waliojiajiri

TRA Kuzindua Boti Za Kisasa Kudhibiti Bidhaa Hatarishi

TEEA YAOMBA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MADINI KUIMARISHA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio

CCM Yasitisha Ratiba ya Uchaguzi wa Maoni

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mipango Zaidi Msiba Wa Cleopa Msuya Kutolewa Na Serikali
Next Article Kamati YA Siasa Yaendelea Kukagua Miradi Ya Maendeleo Temeke
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?