MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Maofisa Habari Watoe Taarifa Sahihi Ziwafikie Wananchi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Maofisa Habari Watoe Taarifa Sahihi Ziwafikie Wananchi
Habari

Maofisa Habari Watoe Taarifa Sahihi Ziwafikie Wananchi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
ZANZIBAR: MAKAMU wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,  Hemed Suleiman Abdulla amesema kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu 2025, wananchi wanapaswa kupewa taarifa sahihi na kwa wakati kuhusu miradi mbalimbali ya maendeleo iliyofanywa na Serikali zote,
Ili waweze kufanya tathmini na uamuzi wakati wa Uchaguzi wa viongozi wao.
Abdullah ameyasema hayo leo Aprili 3, 2025, alupokuwa akifungua Kikao Kazi cha 20 cha Maofisa Habari wa Serikali kinachofanyika katika ukumbi wa New Aman Complex, Zanzibar.
Abdulla amesema miongoni mwa miradi inayotekelezwa na Serikali ya Muungano ni ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR ili kuimarisha huduma za usafiri wa haraka na kuleta Mapinduzi ya huduma za usafirishaji wa abiria na mizigo hapa nchini.
Pia amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaendelea kuimarisha Uwanja cha Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume na vilevile kuanza ujenzi wa uwanja mpya wa ndege wa kimataifa kisiwani Pemba na mingineyo mingi.
Ameeleza kuwa miradi yote hiyo itakapokamilika inakusudiwa kurahisisha upatikanaji wa huduma, kutarahisisha usafiri na usafirishaji wa mizigo  na kupunguza gharama za upatikanaji wa bidhaa kwa wananchi.
Pia kuchochea harakati za kiuchumi hapa nchini.
“Ni wazi kada yenu ina mchango mkubwa kwenye kuhabarisha umma, lakini bado mna kazi kubwa ya kuongeza juhudi ya kuhabarisha Umma kuhusu miradi yote ya maendeleo ili waweze kufanya uamuzi sahihi,” amesema.
Abdullah amewataka maofisa hao waongeze juhudi katika kuhanbarisha umma kwa kutoa taarifa sahihi za miradi mbalimbali ya Serikali.

You Might Also Like

Waajiri Wathamini Taaluma Ya Uandishi Wa Habari – Dkt. Mkoko

Wakulima wafunzwa kuhusu mlipuko wa panya TPHPA

Sekta Binafsi Zazuia Wafanyakazi Kujiunga Na Vyama Vya Wafanyakazi

Serikali yatambua deni la Kiwira Coal Mine Bill.1.52

Mkongo Wa Mawasiliano Unalenga Kuleta Tija Kwa Wananchi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majaliwa Asisitiza Serikali Itaendelea Kuboresha Mazingira Ya Uwekezaji
Next Article Tafiti Katika Afya Nyenzo Muhimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?