MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato
Habari

PIC Uwekezaji Bidhaa Za Ngozi Utaongeza Mapato

Author
By Author
Share
1 Min Read
Ridhiwani Aihakikishia Uwekezaji Endelevu
Na Lucy Ngowi
KILIMANJARO: KAMATI ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), imepongeza serikali kwa uwekezaji wenye tija na manufaa kwa  maendeleo ya nchi  katika kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za ngozi Kilimanjaro International Leather Industries Co Ltd.
Akizungumza baada ya kutembelea kiwanda hicho,  Mwenyekiti wa kamati hiyo Agustine Holle amesema uwekezaji waliouona utaiwezesha  serikali kuongeza  mapato.
Pia amesema kiwanda hicho kitaunufaisha mkoa wa Kilimanjaro pamoja na mikoa ya jirani kwa kuboresha mfumo wa maisha na kuongeza kipato kwa wakazi wake.
Amesema kiwanda hicho kitakapokamolika kitatoa ajira 3000 za moja kwa moja, nyingine zisizo za moja kwa moja 4000.
Naye Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema ataendelea kusimamia maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuufanya uwekezaji huo unakuwa endelevu kwa manufaa ya watanzania na nchi.

You Might Also Like

Theluthi mbili ya nguvu kazi ya taifa ipo kwenye kilimo

Maabara Za Sayansi Zachochea Hamasa Kitaaluma

Waziri Mkuu Aagiza Kuimarisha Ufuatiliaji Na Tathmini Kuleta Maendeleo

SEforALL Kuimarisha Ushirikiano Upatikanaji Nishati Endelevu

Ridhiwan Kikwete aitaka LESCO kushirikiana na serikali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BMT Yaleta Kicheko Kwenye Michezo
Next Article Watanzania Wametakiwa Wasiwachague Wanaotumia Rushwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tanzania Na Namibia Kuongeza Juhudi Kukuza Ushirikiano Wa Kiuchumi
Habari May 21, 2025
Wafugaji huchakachua maziwa kwa kuongeza mafuta, maji, magadi au mkojo wa ng’ombe
Habari May 21, 2025
TDB Yaheshimisha Tasnia Ya Maziwa
Habari May 21, 2025
Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 
Habari May 20, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?