MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri
Habari

Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: Usajili mashauri kwa njia ya mtandao, umesaidia kuharakisha ufunguaji wa mashauri katika mahakama.
Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Salma Maghimbi amesema hayo katika maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini Kanda ya Dar es Salaam.
Maghimbi amesema kwa kuharakisha ufunguaji wa mashauri, matokeo yake hupelekwa mahakamani kwa wakati, kusajiliwa na kupangiwa Jaji au Hakimu ndani ya saa chache.
Kwa upande mwingine amesema hatua kubwa imepigwa katika uteuzi wa majaji wa mahakama Rufani na mahakama Kuu, mahakimu pamoja na kuajiri watumishi wengine wa kada mbalimbali.
“Vile vile mahakama imeendelea kupunguza mlundikano wa mashauri katika ngazi zote za mahakama, na kuongezeka kwa imani ya wananchi na wadau kwa mahakama,” amesema.
Amesema wakati wa kuanza naboresho mwaka 2015 mpaka mwaka 2023, tafiti zilionyesha kuwa imani ya wananchi kwa mahakama imeongezeka kutoka asilimia 61 mwaka 2015 hadi asilimia 88 mwaka 2023.

You Might Also Like

TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita

Tanzania Kidedea Tuzo Ya Mashindano Ya Kimataifa  Usalama wa Barabara

Waratibu Wa Kitaifa Wa Nchi Za Jumuiya Ya Ukanda Wa Maziwa Makuu Wakutana Kinshasa

Wanawake Pelekeni Batiki Kwenye Soko Huru La Afrika

Profesa Kitila Ataja Sababu Za Watanzania  Kumchagua Dkt Samia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Italia Kuangazia Fursa Za Uwekezaji Ambazo Hazijatambuliwa
Next Article Wapongeza Nyongeza Ya Likizo Kwa Aliyejifungua Mtoto Njiti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?