MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri
Habari

Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: Usajili mashauri kwa njia ya mtandao, umesaidia kuharakisha ufunguaji wa mashauri katika mahakama.
Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Salma Maghimbi amesema hayo katika maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini Kanda ya Dar es Salaam.
Maghimbi amesema kwa kuharakisha ufunguaji wa mashauri, matokeo yake hupelekwa mahakamani kwa wakati, kusajiliwa na kupangiwa Jaji au Hakimu ndani ya saa chache.
Kwa upande mwingine amesema hatua kubwa imepigwa katika uteuzi wa majaji wa mahakama Rufani na mahakama Kuu, mahakimu pamoja na kuajiri watumishi wengine wa kada mbalimbali.
“Vile vile mahakama imeendelea kupunguza mlundikano wa mashauri katika ngazi zote za mahakama, na kuongezeka kwa imani ya wananchi na wadau kwa mahakama,” amesema.
Amesema wakati wa kuanza naboresho mwaka 2015 mpaka mwaka 2023, tafiti zilionyesha kuwa imani ya wananchi kwa mahakama imeongezeka kutoka asilimia 61 mwaka 2015 hadi asilimia 88 mwaka 2023.

You Might Also Like

Mgahawa unaotembea fursa kwa vijana, kutoa huduma ya unywaji wa kahawa

Dar Sasa Kufanya Biashara Saa 24, Kuanza Februari 22 Mwaka Huu

TEA Kukarabati Jengo La Bodi Ya Maktaba Kwa Milioni 300

Wizara Ya Kilimo Yajipanga Vema Maonesho ya Kimataifa Ya Biashara

MOI Yaokoa Bilioni 150 Matibabu Ya Kibingwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Italia Kuangazia Fursa Za Uwekezaji Ambazo Hazijatambuliwa
Next Article Wapongeza Nyongeza Ya Likizo Kwa Aliyejifungua Mtoto Njiti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?