MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kaguo Ataja Mbinu Mpya Ukwepaji Kodi Kwenye Mafuta
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kaguo Ataja Mbinu Mpya Ukwepaji Kodi Kwenye Mafuta
Habari

Kaguo Ataja Mbinu Mpya Ukwepaji Kodi Kwenye Mafuta

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MENEJA Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo amesema uchakachuaji wa mafuta unaofanyika siku hizi ni ule wa kuchanganya mafuta ambayo hayajalipiwa kodi na yale yaliyolipiwa kodi.
Kaguo amesema hayo wakati wa Mafunzo ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji kwa Wanachama wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania  (JOWUTA).
“Uchakachuaji wa mafuta zamani ulikuwa asilimia 80, lakini sasa Tuna asilimia nne, hiyo asilimia nne ni nini?
” Sio uchakachuaji wa kuchanganya dizeli na mafuta ya taa, sasa hivi kunakuchakachua kuchanganya mafuta ambayo hayahalipiwa kodi na yale yaliyolipiwa kodi.
“Kwa hiyo kwenye ubora haisumbui sana ila sasa tunafukuzana ili serikali ipate mapato yake,” amesema.
Amesema mwaka 2010 ilianzishwa programu ya kuweka vinasaba kwenye mafuta ambayo kwa macho huwezi kutambua kama yamewekwa.
Amesem mfumo huo ulichangia ubora wa mafuta na ulipaji kodi unaostahili.

You Might Also Like

VETA Yatembelea Kiwanda Cha Kutengeneza Nyumba Bila Kutumia Tofali

TPHPA Yasisitiza Matumizi Sahihi ya Viuatilifu kwa Wakulima

Rais Samia Amkabidhi Tuzo Profesa Ndunguru kwa Kuinua Mapato, Maboresho TPHPA

Wizara ya Maji Yawasilisha Vipaumbele 2026/2027 kwa Bajeti ya Trilioni 1.2

TFS Yang’ara Kitaifa Yashinda Tuzo ya Umahiri Uhifadhi Misitu Na Bayoanuai

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tunatatua Malalamiko Ya Wateja – Kaguo
Next Article Ridhiwani, Ulega Washiriki Maulid Ya Kumswalia Mtume Muhammad
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?