MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia
Habari

Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

MWANACHAMA wa Chama Cha Watumishi wa Serikali za Mitaa (TALGWU), Irene Mwakabanga amekutwa hana hatia katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili.
Irene alishtakiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi na. nane ya mwaka 2023 ambayo ilianza kusikilizwa Novemba 28, mwaka jana 2023.
Amesema ilipofika jana Oktoba 31, kesi hiyo ilihitimishwa kwa kupata ushindi kwa kuwa upande wa serikali kulikuwa hakuna ushahidi wa kutosha.
Kutokana na ushindi huo, ameshukuru chama cha TALGWU kwa kumpatia wakili aliyesimamia kesi yake hadi kukutwa hana hatia.
Irene ametoa shukrani hizo muda mfupi baada ya kupata ushindi huo.
Alifanya kazi halmashauri ya Ngara Bukoba, mwaka 2018 hadi mwaka jana, na sasa ni Ofisa Biashara Halmashauri ya Mafinga mkoani Iringa.

You Might Also Like

Fursa za Uwekezaji Kanda ya Ziwa: Buzwagi na Maeneo Mengine ya Kimkakati

Bajeti ya TUGHE 2025 Yaidhinishwa

Serikali Kulinda Wabunifu Wa Silaha

Rais Samia Atoa Bil. Nne Ujenzi Kiwanda Cha Kuzalisha  Nishati Mbadala  

TUCTA Yaainisha Mambo Matano Yanayohitaji Hatua Za Haraka

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article REA Yatoa Kipaumbele Ujenzi Miradi Ya Nishati Jadidifu
Next Article TARI Yakutanisha Wadau Afya Ya Udongo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume Ya Ulinzi Wa Taarifa Binafsi Yatoa Siku Saba Kwa Taasisi Kujisajili
Habari June 12, 2026
Teknolojia Ya Juisi YA Ndizi Kali Yafungua Fursa Mpya Za Viwanda, Ajira
Makala Uncategorized June 12, 2026
Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?