MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia
Habari

Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

MWANACHAMA wa Chama Cha Watumishi wa Serikali za Mitaa (TALGWU), Irene Mwakabanga amekutwa hana hatia katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili.
Irene alishtakiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi na. nane ya mwaka 2023 ambayo ilianza kusikilizwa Novemba 28, mwaka jana 2023.
Amesema ilipofika jana Oktoba 31, kesi hiyo ilihitimishwa kwa kupata ushindi kwa kuwa upande wa serikali kulikuwa hakuna ushahidi wa kutosha.
Kutokana na ushindi huo, ameshukuru chama cha TALGWU kwa kumpatia wakili aliyesimamia kesi yake hadi kukutwa hana hatia.
Irene ametoa shukrani hizo muda mfupi baada ya kupata ushindi huo.
Alifanya kazi halmashauri ya Ngara Bukoba, mwaka 2018 hadi mwaka jana, na sasa ni Ofisa Biashara Halmashauri ya Mafinga mkoani Iringa.

You Might Also Like

TARURA Dar Yaendelea Na Ujenzi Wa Miundombinu Ya Barabara Iliyosimama Kutokana Na Mvua

Profesa Nombo Azindua Miongozo Ya Usimamizi Ya Utafiti, Ubunifu COSTECH

Washauri Serikali Kutumia Fedha Za Miradi

TBA Yakaribisha Wawekezaji Kushiriki Miradi Mikubwa ya Ujenzi

NIDA Yapata Kibali Maalum Kurekebisha Taarifa Kwa Walioghushi Ili  Kujisajili

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article REA Yatoa Kipaumbele Ujenzi Miradi Ya Nishati Jadidifu
Next Article TARI Yakutanisha Wadau Afya Ya Udongo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?