MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama
Habari

Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

WIZARA ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema jumla ya walimu 300 wa shule za msingi na sekondari wanapafiwa mafunzo ya TEHAMA yatayayoboresha elimu nchini.

Mafunzo hayo yanafadhiliwa na Mfuko wa Mawasiliano Kwa Wote (UCSAF) na yataendeshwa na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT), Chuo Kikuu Cha Dodoma na Chuo Kikuu Cha Mbeya (MUST).

Waziri wa Wizara hiyo, Jerry Slaa amesema hayo katika Chuo Cha DIT wakati akifungua mafunzo hayo Kwa walimu 100 ambapo Kila Chuo kitapokea jumla ya walimu 100.

 

Akizungumza Slaa amesema mafunzo hayo yataziba pengo la kidigitali Kwa kuwashirikisha walimu kutoka maeneo mbalimbali ikiwemo shule za vijijini.

Amesema hizo zitanufaika kupitia mradi huo wa kuiunganisha shule ulioko chini ya UCSAF Kwa kufikishwa pia vifaa vya Tehama na kuiunganisha mtandao wa intanenti .

Slaa amesema mpaka Sasa shule 210 zimepatiwa vifaa vya Tehama ikiwemo kompyuta,projekta mashine za kuandika na kwamba mafunzo hayo yatawezesha walimu kuvitumia vifaa hivyo Kwa ufanisi.

Amesema chini ya mafunzo hayo pia watajengewa uwezo wa kufanya marekebisho madogo na programu mbalimbali za kidigitali.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa wa Taasisi ya DIT, Profesa Ezekiel Amir amesema mafunzo yatasadia kuboresha mazingira ya ufundishaji, uelimishaji na kurahisisha ufundishaji kupitia vishkwambi na kutoa mitihani.

Amesema ni matumaini yake kuwa watatumia fursa hiyo adimu na wareheapo kwenye vituo vya kazi wawe msaada na kupanua wigo wa TEHAMA katika ufundishaji.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa UCSAF Peter Mwasalyanda amesema asilimia 98 ya Watanzania wamefikiwa na huduma ya mawasiliani na kwamba Kwa mwaka huu wanatarajia kuwajengea walimu uwezo.

You Might Also Like

Ridhiwani Kikwete Awataka Vijana Kuwa Mabalozi Wazuri wa Amani

Serikali Inaendelea Kutekeleza Mradi wa Kupeleka Umeme Grid Ya Mtwara Na Lindi- Kapinga

SUA Yawafikia Wafugaji Wa Ng’ombe Wa Maziwa Kwa Tiba Mbadala Ya Homa Ya Kiwele

Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 

Tanzania Yapokea Faru 18 Kutoka Afrika Kusini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Polisi Dar yashikilia watatu kwa mauaji ya mfanyakazi wa Kampuni ya Hope Recycling
Next Article Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Viongozi Watakiwa Kuweka Haki Mbele Katika Kusimamia Masuala ya Wafanyakazi — COWTU (T)
Habari November 25, 2025
Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni
Habari November 25, 2025
Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?