MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina
Habari

Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WANAFUNZI wamekuwa na muitikio mzuri wa kujifunza lugha ya kichina kutokana na mahusiano mazuri yaliyopo baina ya nchi ya China na Tanzania.
Kaimu Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Bagamoyo Pwani, Zaitun Shikwazi amesema hayo kwenye kusherehekea  maadhimisho ya miaka 20 ya Taasisi ya Confucius,  katika Shule ya Sekondari Baobab.
Amesema China ina mahusiano mazuri ya kibiashara lakini kwenye upande wa elimu kuna ushirikiano mzuri na watoto ndio maana wanapenda kujifunza lugha hiyo.
Amesema uhusiano uliopo baina ya nchi hizi mbili unaleta matokeo chanya kwenye nyanja ya elimu.
Naye Mkurugenzi Mtanzania Taasisi ya Confucius Profesa Aldin Mutembei, amesema walifarijika kusikia Rais Samia Suluhu Hassan aliposema inatakiwa kuwepo  na Shule za mchepuo wa lugha ya kichina.
“Ni muhimu sana kwa watanzania kujifunza lugha ya kichina kwani inasaidia kufungua fursa nyingi za kibiashara lakini pia kupanua ufahamu kwani kwenye lugha saba kubwa duniani na kichina ipo,” amesema.

You Might Also Like

Bajeti ya TUGHE 2025 Yaidhinishwa

Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM

Ushiriki Wa Wanawake, Wasichana Katika Sayansi Ni Mdogo

Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Wanaotumika Vibaya Waonywe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article SOKO LA MADINI LA 43 LA ZINDULIWA TUNDURU RUVUMA.
Next Article PURA, M&P zajadili mradi wa uchorongaji visima vya gesi Mnazi Bay
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?