MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja
Habari

Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete, amesema serikali ipo katika hatua za mwisho za kuupeleka muswada wa wafanyakazi wa ndani, katika bunge linalokuja.
Ridhiwan amesema hayo  Ofisini kwake alipotembelewa na  Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakaz Tanzaniai ( TUCTA), Tumaini Nyamhokya, Mhariri Mkuu wa Gazeti la MFANYAKAZI  Shani Kibwasali pamoja na waandishi wa gazeti hilo.
Amesema, ” Katika moja ya jambo kubwa tunaenda kulifanya kisasa ni juu ya maisha ya mtumishi wa ndani.
“Kwamba unajua sasa hivi mimi nikikuchukua ukafanya kazi kwangu za ndani, utaishi ninavyotaka mimi, bila kujali pia mfanyakazi huyu wa ndani ana haki zake kama binadamu.
Ridhiwan  Kikwete ameeleza inafikia sehemu wafanyakazi wa ndani, wanashindwa kuwaeleza waajiri wao kwamba wamepata mchumba kwa kuwa wakisema wanaogopa watafukuzwa kazi.
Amesema muswada huo ukipitishwa utawapa hadhi wafanyakazi wa ndani kwani watafanya kazi na kuishi kama wafanyakazi wa makundi mengine nchini.

You Might Also Like

Serikali yazindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii na ‘Hifadhi Scheme’ kwa Waliojiajiri

TPHPA, KEM Wasaini Hati Ya Makubaliano Udhibiti Viuatilifu

Mradi wa Maadili Katika Utafiti Wa Binadamu Na Huduma Za Afya Wafanywa UDSM kwa Ushirikiano wa Kimataifa

Ulega: Miaka 50 ya ILRI imeinufaisha Tanzania 

Afrika ijadili changamoto sekta ya utalii – UN

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Muswada kuja wa Watumishi Wanaofanya Kazi Eneo Zaidi ya Moja Kuanza kuchangiwa na Waajiri Wote
Next Article Mfanyakazi Ana Wajibu Kupeleka Taarifa za Madai
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tanzania yaendelea kuwa Shule ya Utumishi Barani Afrika,
Habari April 29, 2026
Wizara Ya Kilimo Yaomba Bunge Kuidhinisha Trilioni 1.1,Yaweka Mikakati Kuimarisha Sekta Hiyo
Habari April 28, 2026
NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari April 27, 2026
TUCTA: Waajiri Watekeeze Nyongeza Ya Kima cha Mishahara Sekta Binafsi
Habari April 27, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?