MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDOM yashauri matumizi ya green house kupata tija
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDOM yashauri matumizi ya green house kupata tija
Habari

UDOM yashauri matumizi ya green house kupata tija

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi

CHUO Kikuu cha Dodoma ( UDOM), kimeshauri wananchi walime kisasa kwa kutumia njia ya ‘ Green House’ ili kupata mazao bora na kuongeza tija katika kilimo.
Ushauri huo umetolewa na Mtaalamu wa Maabara chuoni hapo, Julius Ngumba katika Maonesho yavWakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea Jijini Dodoma.
Ngumba amesema, imezoeleka mkoa wa Dodoma kuna ukame hivyo mazao hayawezi kustawi kutokana na hali hiyo, lakini UDOM ikafanya utafiti na kubaini teknolojia hiyo ya Green House inaleta matokeo chanya kwa maxao ya mbogamboga katika mkoa huo.
Amesema kwa kutumia teknolojia hiyo wameweza kulima mazao hayo ya mboga mboga kama nyanya, matango, karoti na soho ambazo zinastawi vizuri.
“Dodoma kuna uhitaji mkubwa wa vyakula lakini ni eneo ambalo jamii yake ina udumavu unaochangiwa na upungufu wa virutubisho katika jamii.
“Mboga zilikuwa haba kutokana na uhaba wa maji lakini utumiaji wa Green House unatatua changamoto hiyo,” amesema.
Amesema kwa kutumia teknolojia hiyo mazao ya mboga mboga yameweza kufanya vizuri.
Amesema jamii ya mkoa huo ikiamua kuachana na kilimo cha asili walichokizoea wataweza kuzalisha mazao bora kwa msimu wote kwa mwaka mzima.
” Siku zote kuhama njia asili kwenda mpya kuna gharama. Wakiweza kujenga watazalisha mazao bora msimu wote wa mwaka,” amesema.

You Might Also Like

Maganga Atembelea Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu, Maonesho Ya Wiki Ya Vijana Mbeya

Ridhiwani Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kijijini Msoga

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira

Mbunge Kuchauka azindua kambi kuhamasisha Uchaguzi Serikali za  Mitaa

CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TASAC yajipanga kuhudumia wafanyabiashara
Next Article Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Umeme Mpomvu-GGM Kuimarisha Upatikanaji Wa Umeme Na Kuchochea Shughuli Za Kiuchumi Geita- Salome
Habari September 4, 2026
Wahitimu 794 Wa Vyuo Vya Elimu Ya Juu Waomba Kujiunga VETA
Habari September 4, 2026
Taka za saluni zageuka dhahabu ya kijani: COSTECH yamulika safari ya David kutoka wazo hadi hataza
Makala September 4, 2026
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wakazi Wa Kisiwa Cha Jibondo Mafia
Habari September 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?