MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo
Habari

UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
 DAR ES SALAAM: TAASISI  ya uwekezaji nchini  UTT AMIS imezindua kampeni ya elimu kwa umma ijilikanayo kama  ‘Kijiwe Mchongo’  ikilenga  kuelimisha masuala ya uwekezaji kwa jamii na rika zote namna ambavyo masoko ya fedha na mitaji yanavyoweza kuwanufaisha kupitia mifuko ya uwekezaji wa pamoja.
Mkurugenzi wa Masoko  na Mawasiliano wa taasisi hiyo  Daud Mbaga, amesema hayo leo  Dar es Salaam  na kuongeza kuwa elimu hiyo itatolewa sehemu mbalimbali nchini na kupitia kurasa za mitandao ya kijamii ya taasisi hiyo.
“Uzinduzi wa kampeni hii inalenga  kuhamasisha wananchi kuwekeza kupitia  taasisi hiyo kwamba tuwafikie wananchi  popote walipo kupitia majukwaa tofauti kama Youtube, instagram, facebook nahata  redio,” amesema.
Amesema kampeni itasaidia   wenye vipato vya chini, kati na juu wakutane sehemu moja kupitia UTT AMIS  na waweze kuwekeza kwenye masoko ya fedha ambayo ni ya mitaji na fedha.
Amesema  kijiwe mchongo  ni kampeni ambayo watakwenda mtaa kwa mtaa, wakiongea na watu tofauti kujua ufahamu wao na kuwavuta kuingia kwenye mfiko  na kama wapo waongeze uwekezaji.
Aidha amesema hadi sasa taasisi hiyo  inasimamia fedha za watanzania zaidi ya Trilioni 2.2  na wawekezaji wapatao 340,000 na  kwa miaka zaidi ya 20 imekuwa  moja ya mifuko inayolipa gawio na faida kwa wawekezaji kila mwaka.
 “Hivi sasa tuna mifuko sita ambayo ni umoja, wekeza maisha, watoto, kujikimu, ukwasi na hatifungani ambayo  kwa pamoja mifuko hiyo imekidhi vigenzo vya ufanisi ambavyo ni usalama, faida, shindani na ukwasi,” amesema.
Ameongeza kuwa wastani wa faida katika mifuko kwa mwaka imekuwa  kati ya asilimia 12 hadi 15 kulingana na hali ya soko.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Tasisi hiyo, Issa Waichinenda amesema katika  kampeni inahamasisha wananchi kuchangamkia  fursa hiyo  kwani ukiwekeza huko ni sehemu salama na kuna faida nzuri .
Amesema kiwango cha chini cha uwekezaji  ni kuanzia sh  10,000 na uwekezaji naweza kuendelea kuweka kiwango chochote.

You Might Also Like

Dkt. Bwana: Tunafanya utafiti wa mbegu kutatua changamoto za wakulima

TUCASA Yatoa Mapendekezo ya Sheria, Sera Kwa Serikali Kutatua Ucheleweshaji Wa Malipo

Rais Samia akunwa na Tarura

Kisaro Ahojiwa Kuhusu Migogoro ya Ardhi,  Mwinje Ajitosa na Suluhisho la Miundombinu na Umiliki wa Ardhi

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani, Mwenyekiti wa CCM Pwani, wawanadi wagombea wa CCM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Bodi ya mkonge kutoa ajira kwa watu 10,000 ifukapo 2030
Next Article Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?