Na Mwandishi Wetu
MENEJA wa Mamlaka Ya Elimu Na Ufundi Stad( VETA) Kanda ya Kaskazini Monica Mbelle, (kulia) akitoa maelezo kuhusu mafunzo ya ufundi stadi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan jinsi yanavyonufaisha makundi mbalimbali katika jamii alipotembelea banda la VETA katika Tamasha la Kizimkazi linalofanyika katika viwanja vya Dimbani Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.
Tamasha hilo lenye kaulimbiu *Kizimkazi kumenoga, shangwe na fursa* limezinduliwa Agosti 12 , 2026 na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Ally Mwinyi na linatarajiwa kuhitimishwa Agost 14 , 2026.





