MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Bodi Ya Usajili Wabunifu Majengo Yapeleka Mahakamani Mashauri 300 Ya Ujenzi Usiozingatia Taratibu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Bodi Ya Usajili Wabunifu Majengo Yapeleka Mahakamani Mashauri 300 Ya Ujenzi Usiozingatia Taratibu
Habari

Bodi Ya Usajili Wabunifu Majengo Yapeleka Mahakamani Mashauri 300 Ya Ujenzi Usiozingatia Taratibu

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Dodoma

BODI ya Usajili Wa Wabunifu Majengo Na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) imesema ina kesi 300 mahakaman zinazohusu watu na kampuni zilizokiuka taratibu za ujenzi wa majengo mbalimbali kwa kutoshirikisha wataalam husika.

Kaimu Msajili wa Bodi hiyo,Daniel Matondo amesema hayo wakati akizungumza katika wiki ya utumishi wa umma inayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park mkoani Dodoma.

Amesema kesi hizo ziko maeneo mbalimbali nchini kama Mbeya, Arusha, Dodomam na kwamba Dar es Saalm inaongoza kwa mashauri mengi.

Habari Picha 12501

Amesema wanashiriki katika maonesho hayo kutoa elimu mbalimbali na kutoa tahadhari kwa wananchi kuwa wasijenga bila kushirikisha wataalam wa bodi hiyo na kwamba wanapokwenda kinyume sheria huchukua mkondo wake.

“Yapo majengo ya aina mbalimbali yaliyoguswa kwenye sheria kwamba yale ya ghorofa lazima yahusishe wataalam wa bodi katika kubuni na kusimamia,”amesema na kuongeza kuwa majengo yote ya umma kama mashule,hospitali na viwanja vya mpira,maghala na majengo ya viwanda.

Amesema licha ya kwamba wananchi wameanzamkupata elimu wengi wakipewa vibao vya ujenzi bado wako wachache wanaopata shida lakini bodi inaendelea kuwaelimisha na wanaokaidi hupelekwa mahakamani ama kutozwa faini.

Habari Picha 12502

Matondo amewataka wananchi kutosubiri hadi kupelekwa Mahakamani bali ni muhimu kujisajili kwa hao watalam na kupata huduma kama inavyostahili.
Hata hivyo alisema kwa anayetuhumiwa hupewa notisi ya kwanza hadimya tatu na asiposikia ndipo hupelekwa mahakamni ili hakimiweze kutendeka.

Kuhusu wikinya utumishi amesema wanaitumia kutoa elimu kuhusu huduma wanazotoa za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi na kwamba wananchi watumie fursa hiyo kupata elimu na kuepuka madhara.

Habari Picha 12503

Alisema pia bodi hutoa mafunzo kwa wataalam wao kwa ajilimya kuwaongezea ujuzi na kwamba hufanya mitihani kwa wanaomaliza vyuo vikuu ili kuendeleza taaluma hiyo.
hivyo alisema kwa anayetuhumiwa hupewa notisi ya kwanza hadimya tatu na asiposikia ndipo hupelekwa mahakamni ili hakimiweze kutendeka.

Kuhusu wikinya utumishi amesema wanaitumia kutoa elimu kuhusu huduma wanazotoa za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi na kwamba wananchi watumie fursa hiyo kupata elimu na kuepuka madhara.

Alisema pia bodi hutoa mafunzo kwa wataalam wao kwa ajilimya kuwaongezea ujuzi na kwamba hufanya mitihani kwa wanaomaliza vyuo vikuu ili kuendeleza taaluma hiyo.

Habari Picha 12504

You Might Also Like

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Utaratibu Wa Manunuzi Ya Bando

Wananchi Wahimizwa Kulinda Maeneo Yaliyohifadhiwa  Kisheria- Kamishna  Wakulyamba

Wagonjwa wa Magonjwa Yasiyoambukiza waongezeka Temeke

Kapinga Afichua Fursa Kubwa za Ajira na Biashara kwa Vijana Nchini Tanzania

Wakandarasi Miradi wa  TAZA Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TARURA  Kutoa Fursa Ya Ajira Kwa Vijana
Next Article Msigwa Asisitiza Mabonanza Ya Michezo Na Sio Kukusanyika Kuvuruga Amani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mfumo Wa Kidijitali Wa PSSSF Wamvutia Mkurugenzi Wa BOT
Habari August 5, 2026
FAO Yasisitiza Kutowapa Mifugo Dawa Bila Maelekezo Ya Watalaam
Habari August 5, 2026
Balozi Wa Kudumu Wa Mashirika Ya UN Atembelea FAO Nanenane
Habari August 5, 2026
Wadau Wamiminika Banda La REA Katika Maonesho Ya Nanenane  2026
Habari August 5, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?