MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Hananja Awataka Vijana Kufikiri Mara Mbili Kabla ya Kufuata Wito wa Maandamano
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Hananja Awataka Vijana Kufikiri Mara Mbili Kabla ya Kufuata Wito wa Maandamano
Habari

Hananja Awataka Vijana Kufikiri Mara Mbili Kabla ya Kufuata Wito wa Maandamano

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

MCHUNGAJI  Richard Hananja amewataka vijana kutafakari kwa kina kabla ya kushiriki maandamano au vitendo vinavyoweza kuhatarisha amani ya nchi, akisisitiza kuwa tofauti za mitazamo zinapaswa kujenga mazungumzo na maelewano, si migawanyiko.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Juni 18, 2026, Hananja ameonya dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii yanayoweza kuchochea chuki, matusi na vurugu, huku akiwahimiza vijana kutumia majukwaa hayo kwa uwajibikaji.

Amesema vijana wanapaswa kuwa waangalifu na wito unaotolewa mtandaoni, akibainisha kuwa wengi wa wanaohamasisha maandamano na vurugu hawapo nchini na hawaathiriki moja kwa moja na madhara yake, huku athari kubwa zikiwakumba wananchi waliopo nchini.

You Might Also Like

Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma

TARURA Yatoa Elimu Nane Nane

Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria

Usafirishaji Shehena Waingiza Dola Bilioni 3.54

Tanzania Yatumia Wiki Ya Nishari India Kunadi Vitalu Vya Mafuta Na Gesi Asilia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

June 18, 2026
Habari June 18, 2026
Magereza Yaomba Jamii Kuwapokea Wafungwa Wanaorejea Kutumikia Taifa
Habari June 18, 2026
TPHPA Yasisitiza Matumizi Sahihi ya Viuatilifu kwa Wakulima
Habari June 18, 2026
BRELA Yahamasisha Urasimishaji wa Biashara kwa Ukuaji wa Uchumi
Habari June 18, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?