MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading:  Mfumo Wa REA  Wa Digital Platform  Wapongezwa Na Waziri Kikwete
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari >  Mfumo Wa REA  Wa Digital Platform  Wapongezwa Na Waziri Kikwete
Habari

 Mfumo Wa REA  Wa Digital Platform  Wapongezwa Na Waziri Kikwete

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Lyatuu,Dodoma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Ridhiwani Kikwete, ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA)  kwa kuja na  mfumo wa Kupanga na Kusimamia miradi ya Wakala  huo.
Habari Picha 12392
Kikwete ametoa pongezi hizo alipotembelea banda la Wakala huo,lililopo katika wiki ya Utumishi wa Umma 2026 inayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, mkoani humo.
Katika Mfumo huo (*REA DIGITAL PLATFORM*) unaonyesha miradi yote inayotekelezwa na REA na kuweza kuisimamia kidijitali na kuwapa taarifa wadau popote walipo duniani kuhusiana na miradi ya Nishati vijijini.
Habari Picha 12393
Akitoa maelezo yake kwa  Waziri Kikwete,  Ofisa  Upimaji Mwandamizi wa REA,  Hussein Shamdas ameeleza kuwa kupitia mfumo huo mwananchi anaweza kujua mipango ya Wakala kwenye eneo lake na kufuatilia miradi inayotekelezwa na Wakala katika eneo husika.
Habari Picha 12394

You Might Also Like

Wafanyakazi fahamuni vihatarishi sehemu za kazi

Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika

Watumishi wa serikali watakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji

Katoro Yapata Gari Jipya la Zimamoto, Kuwasili Februari 9

Jaffo Aagiza Kufufuliwa Vilivyokuwa Viwanda Vya Serikali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Kikwete Atembelea Banda la REA, Aipongeza Kasi ya Usambazaji Umeme Vijijini
Next Article VETA Yazalisha Bidhaa 825, Zinauzwa Ndani Na Nje Ya Nchi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Ridhiwani Aipongeza EWURA kwa Utoaji wa Huduma kwa Wananchi
Habari June 17, 2026
VETA Yazalisha Bidhaa 825, Zinauzwa Ndani Na Nje Ya Nchi
Habari June 17, 2026
Ridhiwani Kikwete Atembelea Banda la REA, Aipongeza Kasi ya Usambazaji Umeme Vijijini
Habari June 17, 2026
Ridhiwani Aipongeza TEA kwa Kuimarisha Elimu Nchini
Habari June 17, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?