MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA Yaendelea Kutoa Elimu YA Matumizi Salama Ya Viuatilifu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA Yaendelea Kutoa Elimu YA Matumizi Salama Ya Viuatilifu
Habari

TPHPA Yaendelea Kutoa Elimu YA Matumizi Salama Ya Viuatilifu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
MWANZA: MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu afya ya mimea pamoja na matumizi sahihi na salama ya viuatilifu, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kulinda afya ya binadamu, mazingira na viumbe rafiki.
Akizungumza katika Maonesho ya Ziwa Victoria yanayoendelea jijini Mwanza, Ofisa Kilimo wa mamlaka hiyo, Bakari Makomola, amesema matumizi ya viuatilifu yanapaswa kufanyika kwa kuzingatia kanuni na maelekezo sahihi ili kuhakikisha usalama wa mlaji, mtumiaji na mazingira kwa ujumla.
Amesema TPHPA iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Afya ya Mimea ya mwaka 2020 ina jukumu la kusimamia afya ya mimea pamoja na kudhibiti biashara ya viuatilifu nchini.
“Tunafanya usimamizi wa biashara ya viuatilifu, ukaguzi wa bidhaa hizo pamoja na kutoa leseni kwa waagizaji na wasambazaji,” amesema Makomola.
Ameongeza kuwa matumizi salama ya viuatilifu yanamaanisha kuhakikisha bidhaa hizo zinatumika kwa njia sahihi ili kulinda afya ya mlaji, mtumiaji na mazingira.
Mamlaka hiyo imesisitiza kuwa elimu hiyo inalenga kuongeza uelewa kwa wakulima na wadau wa kilimo ili kupunguza madhara yanayoweza kusababishwa na matumizi holela ya viuatilifu.

You Might Also Like

UDOM Yatafiti Dawa za Malaria, Vidonda vya Tumbo, Kisukari Kutoka Mimea ya Asili

Asilimia 86.2 ya Wanawake  wanajishughulisha na shughuli za madini

Tunapokea Malalamiko Ya Wananchi, Tunayafanyia Kazi – Dario

Dkt Yonaz Awaasa Watumishi Ofisi Ya Waziri Mkuu  Kuongeza Bidii Katika Kutekeleza Majukumu Yao

Waziri wa Vijana akutana na Mwita wa Zanzibar

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Yasisitiza Uhifadhi
Next Article MAIPAC NA THRDC Watoa Mafunzo Kwa Waandishi Wa Habari Za Mazingira, Kanda Ya Ziwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wizara ya Maji: Uhifadhi Ziwa Victoria Unahitaji Ushirikiano, Uwekezaji Endelevu
Habari May 20, 2026
MAIPAC NA THRDC Watoa Mafunzo Kwa Waandishi Wa Habari Za Mazingira, Kanda Ya Ziwa
Habari May 20, 2026
Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Yasisitiza Uhifadhi
Habari May 20, 2026
Tunashauri Ufugaji wa Samaki Kwenye Vizimba, Mavuno ni Mengi – TAFIRI
Habari May 20, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?