MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Yasisitiza Uhifadhi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Home » Tovuti » Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Yasisitiza Uhifadhi
Habari

Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Yasisitiza Uhifadhi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
MWANZA: MHAIDROJIOLOJIA kutoka Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria (LVBWB), Jackline Jacob, amesema taasisi hiyo inaendelea kufanya tathmini ya wingi na ubora wa maji katika Bonde la Ziwa Victoria kwa lengo la kuhakikisha rasilimali hiyo inalindwa na kutumika kwa uendelevu.
Amesema pamoja na jukumu hilo, bodi hiyo pia inasimamia ugawaji wa maji kupitia utoaji wa vibali pamoja na kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji katika maeneo mbalimbali ya bonde hilo.
Jackline ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye maonesho ya Ziwa Victoria yanayoendelea jijini Mwanza.
Aidha, amewahimiza wananchi kuzingatia sheria za uhifadhi wa mazingira kwa kuepuka kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60 kutoka kwenye vyanzo vya maji.
Amefafanua kuwa vyanzo vya maji vinavyopaswa kulindwa ni pamoja na mito, vijito na Ziwa Victoria, ambavyo vina mchango mkubwa katika maisha ya wananchi na shughuli za kiuchumi.

You Might Also Like

Wakulima Wa Mahindi Mvomero Walia Na Viwavijeshi Vamizi, Watafiti SUA kupitia Mradi Wa AGRISPARK Kuokoa Jahazi

TALGWU Wakerwa Na Wanasiasa Kuwadhalilisha Watumishi Wa Umma

Tanzania Ina Utolevu Wa Chakula Kwa Miaka Minne Uongozi Wa Samia

Watafiti Mradi Wa  AGRISPAK kutoka SUA Waanza Uandaaji Wa Vitabu Vidogo

CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tunashauri Ufugaji wa Samaki Kwenye Vizimba, Mavuno ni Mengi – TAFIRI
Next Article TPHPA Yaendelea Kutoa Elimu YA Matumizi Salama Ya Viuatilifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Barabara Zinazopasuka, Suluhisho Linalotoka Maabara za Tanzania
Makala August 19, 2026
Mnyama Check App: Ubunifu Wamtoa Mfugaji Gizani hadi Kidijitali
Makala August 18, 2026
Waziri Mkenda Kuzindua Wiki Ya Elimu,Ujuzi Na Ubunifu,Washiriki Takriban 300 Waonesha Bunifu Mbalimbali
Habari August 17, 2026
VETA Kibaha Yatengeneza Simu Ya Mkononi Yenye Uwezo Wa Kupiga Na Kutuma Sms
Habari August 17, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

[mc4wp_form id=”2408″]

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?