MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari

NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu,

DODOMA: MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarika kwa kasi, ukifikia thamani ya Sh Trilioni 11.2 hadi Machi 2026 kutoka Trilioni 4.3 mwaka 2020, hatua inayoonesha ukuaji wa uwekezaji, uimara wa usimamizi na ongezeko la wanachama kupitia Hifadhi Skimu.

Akizungumza jijini Dodoma April 27, 2026 wakati akifungua Mkutano wa 56 wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amesema mafanikio hayo yametokana na mageuzi ya usimamizi, uwekezaji wenye tija na matumizi ya teknolojia.

Habari Picha 11920

Amesisitiza kuwa Hifadhi Skimu ni nguzo muhimu ya mustakabali wa hifadhi ya jamii nchini, akibainisha kuwa Serikali inalenga kuwafikia Watanzania wengi zaidi, hususan waliojiajiri.

“Upanuzi wa hifadhi skimu ni hatua muhimu ya kuhakikisha hakuna Mtanzania anayebaki nje ya mfumo wa hifadhi ya jamii,” amesema.

Habari Picha 11922

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba, amesema Mfuko unalenga kufikia thamani ya Sh. Trilioni 24.7 ifikapo Juni 2031 na kuongeza wanachama hadi milioni 6.6, huku ukiimarisha matumizi ya TEHAMA kufikia asilimia 99 ya huduma.

Habari Picha 11923

Ameeleza kuwa mafanikio hayo pia yametokana na utawala bora na uwazi uliowezesha NSSF kupata hati safi ya ukaguzi. Hata hivyo, alibainisha changamoto za baadhi ya waajiri kuchelewesha michango na uelewa mdogo wa hifadhi ya jamii.

Waziri Sangu aliipongeza NSSF kwa uwekezaji katika miradi kama kiwanda cha sukari cha Mkulazi, akisema inachochea ajira na uchumi.

Ameongeza kuwa mipango ya Mfuko inaendana na Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, inayolenga asilimia 70 ya Watanzania kufikiwa na hifadhi ya jamii.

Habari Picha 11924

You Might Also Like

Kifo cha Ndugai Kisigeuzwe Siasa – Familia

BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha

TRA: Serikali imemgusa mkulima kupitia mabadiliko ya sheria

BoT: Tumia Taasisi za Fedha Halali kwa Usalama wa Kifedha

Tanzania, Comoro Zaongeza Ushirikiano wa Lugha

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCTA: Waajiri Watekeeze Nyongeza Ya Kima cha Mishahara Sekta Binafsi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TUCTA: Waajiri Watekeeze Nyongeza Ya Kima cha Mishahara Sekta Binafsi
Habari April 27, 2026
Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?