MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
MAKAMU wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya mazingira kuongeza juhudi katika kulinda na kuhifadhi mazingira ili Tanzania iwe mfano bora katika uhifadhi endelevu.
Amesema nchi ina rasilimali za misitu pamoja na wataalamu wenye uwezo wa kutosha kufanikisha malengo ya kulinda mazingira.
Habari Picha 11402
Dkt. Nchimbi ametoa kauli hiyo alipokutana na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Masauni na Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew.
Wengine ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Festo Dugange pamoja na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Richard Muyungi.
Kikao hicho kilihusisha pia wataalamu kutoka wizara hizo na kilifanyika jijini Dodoma.
Habari Picha 11403
Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amesisitiza umuhimu wa wizara hizo kushirikiana kwa karibu na kuandaa mpango wa pamoja utakaosaidia kulinda mazingira kwa ufanisi zaidi.
Ameeleza kuwa sekta nyingi zinazohusiana na mazingira hutegemea sana uhifadhi wa misitu na rasilimali asili ili kufanikisha majukumu yake.
Ametolea mfano kuwa Wizara ya Maji haiwezi kufanikisha kazi zake ipasavyo ikiwa vyanzo vya maji vitaharibiwa, huku matumizi ya nishati safi ya kupikia yakisaidia kupunguza ukataji holela wa miti.
Aidha, Dkt. Nchimbi amewataka watendaji kuongeza juhudi katika kutekeleza mpango wa kitaifa wa upandaji miti, unaoendana na juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa akihamasisha wananchi kupanda miti mara kwa mara, ikiwemo katika maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.
Pia amewataka viongozi hao kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha miti inayopandwa inalindwa na kutunzwa ili kufikia malengo ya kuhifadhi mazingira.

You Might Also Like

Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa

Mbunge Ulanga Aweka Mikakati Kuufungua Mkoa wa Morogoro Kimaendeleo

TFS Yang’ara Kitaifa Yashinda Tuzo ya Umahiri Uhifadhi Misitu Na Bayoanuai

Trilioni 1.3  Zatumika Kuboresha Afya Ya Msingi Nchini

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Utaratibu Wa Manunuzi Ya Bando

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Next Article TPDC Kufikisha Gesi Nchi Nzima  Ndani Ya Miaka Miwili Na Nusu  Kuanzia Sasa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?