MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma
Habari

Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
VIKAO vya Kamati za Kudumu za Bunge vinatarajiwa kuanza kufanyika kuanzia Jumanne, Januari 13 hadi Ijumaa, Januari 23, 2026 katika Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.
Taarifa hiyo imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma cha Ofisi ya Bunge, Dodoma, ikieleza kuwa vikao hivyo ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano wa Pili wa Bunge unaotarajiwa kuanza rasmi Jumanne, Januari 27, 2026.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Wabunge wanatakiwa kufika Jijini Dodoma siku ya Jumatatu, Januari 12, 2026, ili kushiriki shughuli za kamati.
Katika kipindi hicho, Kamati za Bunge zinatarajiwa kutekeleza shughuli mbalimbali zikiwemo,
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Kamati.
Pia Kamati kujitambulisha na kuzifahamu Wizara na Taasisi zilizo chini yake pamoja na baadhi ya sera na sheria kulingana na majukumu ya kila Kamati.
Vile vile kupitishwa kwa majukumu ya msingi ya kila Kamati; na
Kamati ya Bajeti kufanya maandalizi ya hoja zitakazojadiliwa na Bunge katika Mkutano wa Pili.

You Might Also Like

TPHPA Yatumia Mbinu za Kibaiolojia Kudhibiti Gugu Ziwa Victoria

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya La Mawaziri

Tanzania, Japan Kushirikiana Ukuzaji Ujuzi Kwa Vijana

Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa

Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Simbachawene Ashauri Suluhu ya Mafuriko Mpwapwa
Next Article JAB yawaonya wanaofanya kazi za kihabari bila ithibati
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Umeme Mpomvu-GGM Kuimarisha Upatikanaji Wa Umeme Na Kuchochea Shughuli Za Kiuchumi Geita- Salome
Habari September 4, 2026
Wahitimu 794 Wa Vyuo Vya Elimu Ya Juu Waomba Kujiunga VETA
Habari September 4, 2026
Taka za saluni zageuka dhahabu ya kijani: COSTECH yamulika safari ya David kutoka wazo hadi hataza
Makala September 4, 2026
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wakazi Wa Kisiwa Cha Jibondo Mafia
Habari September 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?