MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma
Habari

Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
VIKAO vya Kamati za Kudumu za Bunge vinatarajiwa kuanza kufanyika kuanzia Jumanne, Januari 13 hadi Ijumaa, Januari 23, 2026 katika Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.
Taarifa hiyo imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Elimu kwa Umma cha Ofisi ya Bunge, Dodoma, ikieleza kuwa vikao hivyo ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano wa Pili wa Bunge unaotarajiwa kuanza rasmi Jumanne, Januari 27, 2026.
Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Wabunge wanatakiwa kufika Jijini Dodoma siku ya Jumatatu, Januari 12, 2026, ili kushiriki shughuli za kamati.
Katika kipindi hicho, Kamati za Bunge zinatarajiwa kutekeleza shughuli mbalimbali zikiwemo,
Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Kamati.
Pia Kamati kujitambulisha na kuzifahamu Wizara na Taasisi zilizo chini yake pamoja na baadhi ya sera na sheria kulingana na majukumu ya kila Kamati.
Vile vile kupitishwa kwa majukumu ya msingi ya kila Kamati; na
Kamati ya Bajeti kufanya maandalizi ya hoja zitakazojadiliwa na Bunge katika Mkutano wa Pili.

You Might Also Like

TARURA Dar Yaendelea Na Ujenzi Wa Miundombinu Ya Barabara Iliyosimama Kutokana Na Mvua

TPDC  Yaibuka Mshindi Sabasaba Yapata Tuzo Ya Tano

Kamishna TRA Atua Kwa Malasusa Kushirikiana Elimu Kwa Mlipa Kodi

Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike

Spika Tulia Kufungua Kongamano La Uhuru Wa Wanataaluma Afrika UDSM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Simbachawene Ashauri Suluhu ya Mafuriko Mpwapwa
Next Article JAB yawaonya wanaofanya kazi za kihabari bila ithibati
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?