MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Naibu Waziri Katambi Asisitiza Ufanisi na Ubunifu Kwenye SIDO
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Naibu Waziri Katambi Asisitiza Ufanisi na Ubunifu Kwenye SIDO
Habari

Naibu Waziri Katambi Asisitiza Ufanisi na Ubunifu Kwenye SIDO

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, amesisitiza kuwa Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) linapaswa kujipanga upya, kuongeza kasi ya utekelezaji wa kazi, kuwa na uwajibikaji, na kuhakikisha kila mfanyakazi anachangia kwa ufanisi kulingana na nafasi yake.
Kauli hiyo ameitoa wakati wa ziara ya kikazi katika ofisi za SIDO mkoani Dar es Salaam, akibainisha umuhimu wa shirika katika kukuza maendeleo ya viwanda vidogo na vya kati nchini.
Katambi amewapongeza wafanyakazi wa SIDO na kuwaomba wawe wabunifu katika kutambua fursa mpya za kibiashara, kutumia tafiti za awali na mpya kubaini changamoto, na kuhakikisha ushirikiano kati ya viwanda vidogo, vya kati na vikubwa.
Amesisitiza kuwa maendeleo ya viwanda vidogo na vya kati ni nguzo muhimu katika utoaji wa ajira, ukuaji wa uchumi, na kuhakikisha mitaji ya viwanda inabaki ndani ya nchi.
Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa SIDO, Profesa Sylvester Mpanduji, amesema shirika linaendelea kuratibu na kusimamia maendeleo ya viwanda vidogo na vya kati.
Ameeleza mafanikio ya miaka mitano iliyopita kuwa ni pamoja na uzalishaji wa mashine na vipuri, kuanzishwa kwa viwanda vipya zaidi ya 2,500, na ongezeko la ajira.
Aidha, SIDO imeendeleza programu ya atamizi wa mawazo bunifu, ambapo mawazo 32 yameatamiwa, pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiriamali, biashara na uchakataji wa bidhaa kwa wajasiriamali.

You Might Also Like

Wananchi Kunufaika Na Huduma Za Kijamii Mradi Wa LNG Mkoani Lindi

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kwenye Kilele Cha Siku Ya Utumishi Wa Umma

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota

Watumishi Wa Afya Waliofadhiliwa Watakiwa Kukamilisha Taratibu Ifikapo Novemba 22,2025

BRELA kuanza kuwasajili wakulima

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TALGWU Yawakutanisha Wawakilishi Wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu Dodoma
Next Article UDSM Yashirikiana na China Kukuza Maarifa na Urafiki Kupitia Vitabu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Ushirikiano wa TEA, Halmashauri wapewa msukumo kuimarisha mifuko ya elimu
Habari April 22, 2026
Kisima Kimoja Cha Gesi Chaonesha Mshangao Kwa Uzalishaji Wa Gesi-PURA
Habari April 22, 2026
‎ ‎EWURA  Yatoa  Leseni Za Mafundi Umeme  Zaidi Ya 1000
Habari April 21, 2026
Wizara Ya Nishati Kutekeleza Dira Ya Taifa 2050,Kuhamasisha Matumizi Ya  Nishati Safi
Habari April 21, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?