MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TALGWU Yawakutanisha Wawakilishi Wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu Dodoma
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TALGWU Yawakutanisha Wawakilishi Wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu Dodoma
Habari

TALGWU Yawakutanisha Wawakilishi Wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu Dodoma

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kimeendelea kuimarisha ushiriki wa makundi maalum ndani ya chama hicho kwa kuendesha semina maalum iliyowakutanisha wawakilishi wa wafanyakazi wenye ulemavu kutoka ngazi ya Mikoa na Taifa.
Rais wa Shìrikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA), ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa TALGWU, Tumaini Nyamhokya amefungua semina hiyo iliyofanyika jijini Dodoma.
Nyamhokya, amesema Kamati ya Wafanyakazi Wenye Ulemavu ni nguzo muhimu ndani ya chama, akibainisha kuwa mchango wake ni mkubwa katika kuhakikisha maslahi na sauti za wafanyakazi wenye ulemavu zinasikika ipasavyo.
Amesisitiza kuwa kukutana kwa wawakilishi hao si tukio la mara moja, bali ni sehemu ya mkakati endelevu wa TALGWU wa kuimarisha ushiriki, uwakilishi na usawa kwa makundi yote muhimu ndani ya chama.
Habari Picha 10623
Kwa upande wake, Kaimu Katibu Mkuu wa TALGWU, Wandiba Ngocho, amesema semina hiyo imelenga kuwaongezea uelewa wawakilishi wa wafanyakazi wenye ulemavu kuhusu masuala muhimu yanayogusa moja kwa moja ustawi wao mahali pa kazi.
Amefafanua kuwa kupitia semina hiyo, washiriki wanapata fursa ya kujifunza, kubadilishana uzoefu na kuimarisha uwezo wao katika kutetea haki, usalama na maslahi ya wafanyakazi wanaowawakilisha.
Miongoni mwa mada zilizojadiliwa ni elimu kuhusu Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), pamoja na masuala ya usalama na afya mahali pa kazi (OSHA), ikiwa ni jitihada za kuwawezesha wawakilishi hao kutekeleza wajibu wao kwa ufanisi zaidi.
Akitoa shukrani kwa niaba ya washiriki, Mwakilishi wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu TALGWU Taifa,  Josephine Shimula, ameushukuru uongozi wa chama hicho kwa kuandaa semina hiyo pamoja na kuendelea kutambua na kuwapa nafasi viongozi wa wafanyakazi wenye ulemavu ndani ya chama.
Amesema semina hiyo imewajengea uelewa mpana na kuahidi kuwa elimu waliyoipata itatumika ipasavyo kuwatumikia na kuwatetea wafanyakazi wenye ulemavu kwa ufanisi zaidi katika maeneo yao ya kazi.
Habari Picha 10626
Habari Picha 10627
Habari Picha 10628
Habari Picha 10629
Habari Picha 10630
Habari Picha 10631
Habari Picha 10632
Habari Picha 10633
Habari Picha 10634
Habari Picha 10635
Habari Picha 10636
Habari Picha 10637
Habari Picha 10638
Habari Picha 10639
Habari Picha 10640
Habari Picha 10641
Habari Picha 10642
Habari Picha 10643
Habari Picha 10644
Habari Picha 10645
Habari Picha 10646
Habari Picha 10647

You Might Also Like

Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai

Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS

UDSM,YULHO kujenga kituo cha kupima madini

Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita

Serikali Yapeleka Sh Bil 10 Kwa Kiwanda Cha Viuadudu Cha TBPL

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mabalozi Wa Utalii Waahidi Kuulinda Ushoroba Wa Kwakuchinja
Next Article Naibu Waziri Katambi Asisitiza Ufanisi na Ubunifu Kwenye SIDO
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kisima Kimoja Cha Gesi Chaonesha Mshangao Kwa Uzalishaji Wa Gesi-PURA
Habari April 22, 2026
‎ ‎EWURA  Yatoa  Leseni Za Mafundi Umeme  Zaidi Ya 1000
Habari April 21, 2026
Wizara Ya Nishati Kutekeleza Dira Ya Taifa 2050,Kuhamasisha Matumizi Ya  Nishati Safi
Habari April 21, 2026
Mandingo: Jiungeni Mkunga Marathon Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto
Habari April 21, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?