MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: ADA-TADEA Yamsimamisha Uanachama Mgombea Mwenza, Yajaza Nafasi Zilizo Wazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > ADA-TADEA Yamsimamisha Uanachama Mgombea Mwenza, Yajaza Nafasi Zilizo Wazi
Habari

ADA-TADEA Yamsimamisha Uanachama Mgombea Mwenza, Yajaza Nafasi Zilizo Wazi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

KAMATI Kuu ya Chama Cha ADA -TADEA  kimewavua uanachama wanachama wake  kutokana na kukiuka taratibu mbalimbali za chama hicho huku wakijaza nafasi zilizokuwa wazi.

Waliovuliwa uanachama ni pamoja na aliyekuwa mgombea mwenza chama hicho, Ali Makame Issa,  Katibu wa  Baraza la Vijana, Alphonce Mayunga na Katibu  Mkoa wa Mwanza, Deusdedit Tiba.

Katibu Mkuu wa ADA_TADEA, Salehe Msumari amesema hayo  leo Dar es Salaam  wakati akizungumza na vyombo vya habari na kuongeza kuwa  baada ya chama kujaza nafasi za viongozi hao watapeleka taarifa kwa  Msajili wa Vyama vya Siasa.

Amesema wagombea hao wamevuliwa uanachama kwa sababu mbalimbali na kwamba kuanzia sasa matamko ambayo yamekuwa yakitolewa na aliyekuwa mgombea mwenza hayatatambuliwa na chama hicho.

Amesema nafasi ya Makamu Mwenyekiti  Zanzibar imechukuliwa na Ally Mohamed  kutokana na aliyekuwepo  kuhamia chama kingine cha siasa.

 

Amesema pia wamejaza nafasi nyingine Makamu Mwenyekiti Bara, ambaye ameumwa muda mrefu sana na nafasi hiyo kukaimishwa kwa Farida Abdallahna Katibu Mkuu Mwenezi ambaye alihama chama hicho na nafasi yake kuchukuliwa na Mwenyekiti mkoa wa Simiyu, Luhende Kassim,  na nafasi ya Katibu wa Vijana kuchukuliwana Suzan Thomas.

Kuhusu uchaguzi amesema chama hicho hakijapata nafasi yoyote ya uongozi na kwamba Kamati hiyo imekutana kujadili kuona walipokosea na kuwa na mapendekezo ndani ya chama ya nini kitakachofuatwa.

Kuhusu hotuba ya Rais Dkt  Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati akizindua Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwenyekiti wa Chama hicho, Juma Ali Khatib amesema wanapongeza kwa hotuba nzuri hususani alipotoa msamaha kwa walioshiriki katika vurugu za Oktoba 29, siku ya uchaguzi.

Habari Picha 10346

Amesema pia  Kamati hiyo inapongeza uundwaji wa Wizara maalum ya Vijana ambayo itagusa mambo mengi yanayohusu kundi hilo.

Khatib amewataka pia vijana kuepukana na hamasa zinazosababisha kushiriki  kwenye maandamano kwa kuwa ni eneo lililoitia doa Tanzania .

Habari Picha 10347

 

 

 

 

 

 

You Might Also Like

Wananchi Waendelee Kupewe Elimu Kuhusu Bioteknolojia

Sheria ya ajira, mahusiano kazini ipitiwe upya

Kipaji pekee hakitoshi katika kufanya kazi za kihabari – Kipangula

Watafiti Mataifa 10 Kujadili ElimuMsingi Nchini

TDB Yaheshimisha Tasnia Ya Maziwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Amani, Maendeleo Haviwezi Kutenganishwa — Dkt. Nchimbi
Next Article Makamu Mkuu OUT: Elimu ya Masafa Yahitaji Nidhamu ya Hali ya Juu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?