MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi
Habari

Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: BARAZA la Mitihani la Tanzzania limefuta matokeo yote ya watahiniwa 67 waliobainika kufanya udanganyifu, pamoja na watahiniwa watano walioandika lugha ya matusi katika mtihani wa Kidato cha Nne.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani, Dkt. Said Mohamed  amesema hayo  wakaticakitoa taarifa ya matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana.
Dkt. Mohamed amesema matokeo hayo yamefutwa kwa mujibu wa Kifungu cha 5 (2) (j) cha Sheria ya

Baraza la Mitihani sura ya 107 kikisomwa pamoja na Kifungu cha 30(2) (b) cha Kanuni za Mitihani Mwaka 2016.

Kwa upande mwingine amesema barazahilo imefungia kituo cha P6384 BSL Open School kilichopo mkoa wa Shinyanga kuwa kituo cha Mitihani ya Taifa kutokana na
kuratibu mipango ya udanganyifu.
“Kituo hicho kinafungiwa kwa mujibu wa Kifungu 4(8) cha Kanuni za Mitihani mwaka 2016 hadi hapo Baraza
litakapojiridhisha kuwa ni salama kwa uendeshaji wa Mitihani ya Taifa,” amesema.

You Might Also Like

Umeme Vitongojini Wachoche Uchakataji Mazao Katavi

Tanzania yaendelea kuwa Shule ya Utumishi Barani Afrika,

Sekta Binafsi Zazuia Wafanyakazi Kujiunga Na Vyama Vya Wafanyakazi

Mauaji Yanayotokea Ni Aibu-Butiku

TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu
Next Article Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025
Habari May 29, 2026
NHC Kuendelea Kutekeleza Miradi Mikubwa Ya Kimkakati Ya Ujenzi Wa Nyumba
Habari May 28, 2026
Kutokulipa Kodi Ya Pango La Ardhi Unakosa Sifa Za Kugombea Nafasi Za Uongozi
Habari May 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?