MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi
Habari

Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: BARAZA la Mitihani la Tanzzania limefuta matokeo yote ya watahiniwa 67 waliobainika kufanya udanganyifu, pamoja na watahiniwa watano walioandika lugha ya matusi katika mtihani wa Kidato cha Nne.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani, Dkt. Said Mohamed  amesema hayo  wakaticakitoa taarifa ya matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana.
Dkt. Mohamed amesema matokeo hayo yamefutwa kwa mujibu wa Kifungu cha 5 (2) (j) cha Sheria ya

Baraza la Mitihani sura ya 107 kikisomwa pamoja na Kifungu cha 30(2) (b) cha Kanuni za Mitihani Mwaka 2016.

Kwa upande mwingine amesema barazahilo imefungia kituo cha P6384 BSL Open School kilichopo mkoa wa Shinyanga kuwa kituo cha Mitihani ya Taifa kutokana na
kuratibu mipango ya udanganyifu.
“Kituo hicho kinafungiwa kwa mujibu wa Kifungu 4(8) cha Kanuni za Mitihani mwaka 2016 hadi hapo Baraza
litakapojiridhisha kuwa ni salama kwa uendeshaji wa Mitihani ya Taifa,” amesema.

You Might Also Like

TIC Yapaa Kiuchumi Afrika

NIT Yajivunia Uanzishwaji Chuo Cha Marubani

Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam

Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi

Wanaodaiwa Kumuua Ofisa TRA Washikiliwa na Polisi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu
Next Article Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?