MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

MDHIBITI  na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  Charles Kichere, ametembelea Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na kufanya kikao na Menejimenti ya Wakala huyo katika ukumbi wa ofisi za TARURA zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.

Katika kikao hicho, CAG ameipongeza TARURA kwa kazi kubwa wanayoifanya ya ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini tangu kuanzishwa kwake.

Amesema kuwa licha ya TARURA kuwa ni taasisi changa, mafanikio yake yanaonekana wazi kupitia ujenzi wa barabara na madaraja mengi yanayowarahisishia wananchi kupata huduma za kijamii na kiuchumi.

“TARURA haina miaka mingi tangu kuanzishwa kwake, lakini matokeo ya kazi zake yanaonekana. Barabara na madaraja mengi yamejengwa na wananchi wanaendelea kunufaika,” amesema CAG.

Aidha, amesema TARURA ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla, hivyo aliwataka waendelee kujenga miundombinu ya barabara kuendana na mahitaji ya sasa ambayo yatamfanya mwananchi kufanya mazoezi ili kukabiliana na Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza (NCD).

 

You Might Also Like

Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita

Samia Asema Mwanamke Anayo Haki Ya Kumiliki Ardhi

Rais Samia azindua bwawa la umwagiliaji Mtibwa

Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi

Mfumo Uendeshaji Mashauri Kidigitali Kwa Watumishi wa Umma Uharakishwe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Next Article Rais Samia: Majaji na Mahakimu Simamieni Haki
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

‎ ‎EWURA  Yatoa  Leseni Za Mafundi Umeme  Zaidi Ya 1000
Habari April 21, 2026
Wizara Ya Nishati Kutekeleza Dira Ya Taifa 2050,Kuhamasisha Matumizi Ya  Nishati Safi
Habari April 21, 2026
Mandingo: Jiungeni Mkunga Marathon Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto
Habari April 21, 2026
‘Upungufu wa Wakunga Afrika Watishia Maisha ya Mama na Mtoto ‘TAMA
Habari April 21, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?