MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wagonjwa 472 Waonwa Na Daktari Wa Mifupa MOI, 40 Wapendekezwa Kufika Dar kwa Matibabu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wagonjwa 472 Waonwa Na Daktari Wa Mifupa MOI, 40 Wapendekezwa Kufika Dar kwa Matibabu
Habari

Wagonjwa 472 Waonwa Na Daktari Wa Mifupa MOI, 40 Wapendekezwa Kufika Dar kwa Matibabu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MBEYA: DAKTARI wa Mifupa kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dkt. Angela Mlingi, amesema wamehudumia jumla ya wagonjwa 472, ambapo wengi wao wamebainika kuwa na changamoto za kiafya kwenye maeneo ya mgongo na nyonga.
Dkt. Angela amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari katika Mqadhimisho ya Wiki ya Vijana yanayomalizika Oktaba 14, 2025.
Habari Picha 9959
Amesema kati ya wagonjwa hao 472, takriban 40 wamependekezwa kufika MOI, Dar es Salaam kwa ajili ya uchunguzi na matibabu ya kina kutokana na hali zao za kiafya kuhitaji utaalamu zaidi.
Amesema wagonjwa wenye hali ya wastani wameelekezwa kufika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya kwa matibabu, huku Daktari huyo akieleza kuwa hospitali hiyo sasa ina uwezo mkubwa wa kutoa huduma za tiba ya mifupa baada ya madaktari wake kupatiwa mafunzo na MOI.
“Tunawashukuru wananchi kwa namna walivyojitokeza na kufurahia huduma. Hii inaonesha kuwa kuna uhitaji mkubwa wa elimu kuhusu afya ya mifupa, hasa ukizingatia kwamba watu wengi hupuuzia dalili za awali za maumivu kwa sababu ya uelewa mdogo,” amesema.
Habari Picha 9960
Ametoa wito kwa wananchi kujenga mazoea ya kufanya mazoezi mara kwa mara na kufika hospitalini pindi wanapohisi mabadiliko yoyote ya kiafya badala ya kusubiri hali kuwa mbaya.
“Wagonjwa wengi wanajua kuwa wanaumwa lakini kufuata huduma hospitalini imekuwa changamoto. Tunawahimiza watu wakapime afya zao mapema ili kama kuna tatizo, litibiwe kwa wakati,” amesema.

You Might Also Like

Afrika yatakiwa kutokuwa na Matabaka katika kutekeleza AFCFTA 

TPHPA Yanunua Ndege Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao

NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe

TPHPA Tuna Mchango Mkubwa Katika Utoshelevu Wa Chakula – Ndunguru

Mbunge Kuchauka azindua kambi kuhamasisha Uchaguzi Serikali za  Mitaa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Yajizatiti Kukabiliana na Maafa – Majaliwa
Next Article Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar Atoa Rai Kuhusu Afya ya Akili kwa Vijana
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
Serikali Yapeleka Sh Bil 10 Kwa Kiwanda Cha Viuadudu Cha TBPL
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?