MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Makala > Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala

Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Ilongelo, Hidary Gulamali, ameibua hoja Bungeni akiitaka Serikali kueleza mpango wake wa kuboresha huduma za mawasiliano kwa kujenga minara ya simu katika maeneo yenye changamoto ya mtandao na mawasiliano ya simu ndani ya jimbo lake.
Gulamali ametoa hoja hiyo wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha Bunge kilichofanyika jijini Dodoma, akieleza kuwa ukosefu wa mawasiliano ya uhakika umekuwa kikwazo kikubwa kwa wananchi, hasa katika nyanja za kiuchumi, elimu na shughuli za kijamii.
Amezitaja kata za Namuhunga na Ilongelo kuwa miongoni mwa maeneo yaliyoathirika zaidi, ambapo wananchi hulazimika kutembea umbali mrefu ili kupata huduma za simu na intaneti.
“Je, Serikali ina mpango gani wa kujenga minara ya mawasiliano katika kata za Namuhunga na Ilongelo zilizopo Jimbo la Singida Vijijini?” alihoji mbunge huyo.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Switbert Mkama, amesema Serikali imeshatambua changamoto ya mawasiliano inayokabili maeneo mbalimbali nchini, hususan vijijini, na tayari imeanza kuchukua hatua za makusudi kuikabili.
Amefafanua kuwa Serikali imeandaa mkakati wa miaka mitano unaolenga kujenga minara ya mawasiliano katika maeneo yote yenye upungufu wa huduma hiyo, kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata mawasiliano ya uhakika na yenye ubora.
Dkt. Mkama amemhakikishia mbunge huyo kuwa kata za Namuhunga na Ilongelo pamoja na maeneo mengine yenye changamoto katika Jimbo la Singida Vijijini zitahudumiwa kupitia utekelezaji wa mkakati huo pindi utakapotekelezwa kikamilifu.

You Might Also Like

UDSM Chang’ara STICE – 2024 Kupitia Mhadhiri Na Mtafiti Wake Dkt. Mmochi

Matukio ya Wafanyakazi Yaliyojiri kuanzia Januari 2024, Hadi Leo Disemba 31, 2024

Mawasiliano Kati ya China, Afrika Juu Ya Mtazamo Wa Maandishi Ya Kifasihi

Dkt. Biteko Afuta Likizo Za Watumishi Wote Tanesco

Mwelekeo Mpya wa Viwanda: Safari ya Siku 100 za Mageuzi ya Kiuchumi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Next Article Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

VETA kumpa nafasi Igobeko kuongeza ujuzi na kuwawezesha wengine
Habari August 23, 2026
Airtel Yajenga Darasa La Fursa Katika Shule Ya Sekondari Magaoni,Tanga
Habari August 23, 2026
Bunifu ya dawa ya mayai yapunguza hasara kwa wafugaji wa kuku
Makala August 22, 2026
Dkt Yonaz Awakumbusha Vijana Kulinda Afya Zao Katika Mapambano Dhidi Ya Ukimwi
Habari August 22, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?