MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Yatafiti Dawa Ya UTI, Fangasi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Yatafiti Dawa Ya UTI, Fangasi
Habari

VETA Yatafiti Dawa Ya UTI, Fangasi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: DAWA inayokabiliana na ugonjwa wa maambukizi ya bakteria kwa njia ya mkojo ( UTI), na fangasi ijulikanayo kama ‘ Lab Spray Disinfectant” imepatikana.
Mwalimu wa Maabara kutoka Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi ( VETA), Ally Issa amesema hayo katika Kongamano na maonyesho ya tisa ya Sayansi, Teknolojia, na Ubunifu, yaliyoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sa
Issa amesema bakteria wengi wa magonjwa hayo hupatikana kwenye vyoo vya umma hivyo, kabla ya kutumia choo dawa hiyo inapulizwa kisha mtumiaji anatumia.
“Kama unasumbuliwa na fangasi kwenye miguu unachukua dawa hii na kuipulizia kwenye eneo lililoathirika. Dawa hii imetengenezwa na Glycerin, Ethanol, Benzoic na Salicylic kwa ajili ya kuua bakretia wa UTI na fangasi,” amesema.
Pamoja na dawa hiyo pia wametengeneza mafuta ya mwarobaini kwa ajili ya kujikinga na kudhibiti mbu.
Issa amesema mafuta hayo yametengenezwa kwa utaratibu maalum kwa kutumia majani ya mwarobaini, mchaichai na mafuta ya nazi.
“Mafuta haya hayana kemikali yoyote kwa sababu yametengenezwa na vitu asili. Ukiyapaka mwilini hakuna mbu atakayekusogelea,” amesema.

You Might Also Like

Imarisheni Mkakati Wa Kusimamia Usafi Wa Mazingira-Mhagama

Wananchi Washauriwa Kujiunga Na Chuo Cha Ualimu Na Ufundi Stadi Morogoro

Majaliwa ataka kuondolewe vikwazo vya rufaa za matibabu Afrika Mashariki

Bodi Ya  Bima Ya Amana Yapata Mkurugenzi  Mkuu

Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ndunguru: Mabadiliko Ya Tabianchi Yanachangia Kuwepo Kwa Magonjwa, Wadudu Kwenye Mazao
Next Article Mbunifu Alilia Uwepo Wa Miongozo Kwa Wagunduzi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bunge Marathon kufanyika April 18,yakidhi viwango vya kimataifa
Habari April 14, 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu, Aongoza Harambee Mei Mosi 2026
Habari April 14, 2026
Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu
Habari April 11, 2026
Waziri Ulega aridhishwa na miradi ya dharura TANROADS
Habari April 11, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?