MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa
Habari

Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt Maduhu Kazi amewataka Watumishi wa Wizara hiyo kutambua umuhimu wa Mazoezi katika kuimarisha afya, kuweka watu pamoja hivyo kuimarisha upendo na mshikamano baina ya Watumishi
Dkt. Maduhu amesema hayo alipokua akizindua programu ya Mazoezi kwa Watumishi wa Wizara hiyo iliyofanyika jijini Dodoma katika uwanja wa Shule ya Msingi Dodoma Mlimani.
Pia ameipongeza Menejimenti ya Wizara kwa kutoa fursa hiyo itakayosaidia kuimarisha na kuboresha afya za watumishi kupitia Mazoezi.
Vilevile amewasisitiza watumishi kutumia nafasi hiyo kushiriki kwenye Mazoezi hayo yatakayokuwa yakifanyika mara mbili kwa wiki kila siku ya Jumanne na Alhamisi kuanzia saa 10 Alasiri
“Napenda kuchukua nafasi hii kuwasisitiza Watumishi wote kushiriki Mazoezi haya kila wiki kwa watumishi waliopo hapa Dodoma na kwa wale walipo nje ya Dodoma,” amesema.
Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Hilda Tegwa ameelekeza maeneo yatakayotumika kufanya nazoezi hayo.

You Might Also Like

NIT Yasema Ina Uwezo Wa Kufundisha Kozi Ya Urubani

Randama Ya Maji 2026/27 Yaidhinishwa

Tanzania Yazindua Mkakati wa Taifa wa Usimamizi Na Uendelevu wa Mikoko

Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yanadi Nishati Kimataifa
Next Article Trump Ashinda Uchaguzi Marekani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?