MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu
Habari

Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MOROGORO: WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wataalamu wa ubunifu wa majengo na ukadiriaji nchini kutumia taaluma zao kubuni miradi ya kisayansi yenye gharama nafuu na tija kwa maendeleo ya sekta ya ujenzi.
Akifungua Semina ya Mafunzo Endelevu na maonesho ya vifaa vya ujenzi yaliyoandaliwa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji (AQRB) mkoani Morogoro, Ulega amesema ubunifu ni nguzo muhimu katika dunia ya sasa yenye ushindani mkubwa.
Ameeleza kuwa mataifa yanayopiga hatua ni yale yanayowekeza katika ubunifu unaopunguza gharama huku ukiongeza ufanisi, hivyo kuwahimiza wataalamu kuendelea kujifunza na kuboresha ujuzi wao ili kuongeza tija katika kazi zao.
Habari Picha 11731
Aidha, amesisitiza umuhimu wa kuzingatia sheria za upangaji miji na usanifu bora wa majengo ili kuongeza ushindani wa nchi na kuvutia uwekezaji pamoja na kukuza sekta ya utalii.
Pia amewakumbusha kuzingatia Sheria ya AQRB Sura ya 269 ili kuhakikisha ubora na usalama wa majengo.
Ulega amewataka wataalamu kutoa huduma kwa weledi ili jamii itambue tofauti kati ya wataalamu waliosajiliwa na wasiothibitishwa, huku akiwahamasisha kujitangaza zaidi ili kujenga heshima ya taaluma zao.
Habari Picha 11732
Akizungumzia ubunifu wa wanafunzi katika maonesho hayo, amesema ameridhishwa na mawazo yao na kusisitiza kuwepo mazingira wezeshi yatakayochochea ukuaji wa ubunifu unaoendana na teknolojia.
Kwa upande wake, Kaimu Msajili wa AQRB, Dkt. Daniel Matondo, amesema wataendelea kusimamia taaluma hiyo kwa kuimarisha ubunifu na ushindani.
Naye Rais wa Chama cha Wabunifu Majengo Tanzania, Mecky T’chawi, ameahidi kushirikiana na serikali kuendeleza sekta hiyo kwa viwango vya kisasa.

You Might Also Like

Serikali Kuendelea Kutenga Fedha Kwa ajili ya Ukamilishaji wa Maboma ya Vituo vya Afya

TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  

Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma

Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa

Mgombea Urais CHAUMMA Ahaidi Soko La Kisasa Feri

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri Ulega aridhishwa na miradi ya dharura TANROADS
Next Article Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu, Aongoza Harambee Mei Mosi 2026
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Utafiti wa Chakula Bora cha Kuku wa Nyama Watoa Tumaini kwa Wafugaji
Makala May 19, 2026
JWTZ Kulipa Fidia Wananchi Waliochukuliwa Maeneo
Habari May 19, 2026
Timu Ya Bunge Yakabidhiwa Vifaa Vya Michezo
Habari May 19, 2026
Ndoinyo Aishauri Serikali Kurejesha Utalii Vijijini
Habari May 19, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?