MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TUCTA Yaitaka Jamii Kuwapa Nafasi Vijana Wenye Changamoto za Kimwili
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TUCTA Yaitaka Jamii Kuwapa Nafasi Vijana Wenye Changamoto za Kimwili
Habari

TUCTA Yaitaka Jamii Kuwapa Nafasi Vijana Wenye Changamoto za Kimwili

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
MBEYA: WAZAZI na walezi nchini wametakiwa kuacha kuwaficha vijana wenye ulemavu na badala yake wawape fursa ya kupata mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kujitegemea na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa.
Mwenyekiti wa Kamati ya Vijana ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Baraka Shekimweri ametoa wito huo alipotembelea banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)katika Maadhimisho ya Wiki ya Vijana yanayoendelea mkoani Mbeya.
“Nimefurahishwa kuona vijana wengi wenye ulemavu wakiwa mafundi cherehani, wataalamu wa TEHAMA, na wabunifu wa kazi mbalimbali. Huu ni ushahidi kuwa ulemavu si kikwazo cha mafanikio,” amesema.
Shekimweri ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Elimu kutoka Makao Makuu ya Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi na Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari, Ufundi Stadi na Utafiti (RAAWU), ameongeza ni muhimu jamii kuacha kuwahifadhi vijana hao majumbani kwa dhana kuwa hawawezi kufanya lolote,
Kwani wameonyesha uwezo mkubwa wa kujifunza na kufanya kazi za kitaalamu kwa ustadi.
Shekimweri amesema, “Huu ni wakati wa kuwekeza kwa vijana wetu kwa kuwapatia ujuzi wa kiufundi ambao utawawezesha kujiajiri na kuondokana na utegemezi.”

You Might Also Like

Wafanyakazi Wapongeza Uzinduzi wa Miongozo, Mifumo ya Kielektroniki ya Ofisi ya Waziri Mkuu

Sheria Ya Kupata  Taarifa, Ya NGOs Zina Upungufu 

Maadhimisho Ya VETA Ya Miaka 30 Kuhitimishwa Machi 18 Hadi 21, DSM

Polisi Kata Kupewa Pikipiki Nchi Nzima Kuimarisha Ulinzi

Zimamoto Mbeya Watoa Elimu Ya Kukabiliana Na Majanga Ya Moto Kwenye Wiki Ya Vijana

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Yawawezesha Vijana Wenye Mahitaji Maalum Kung’ara Katika Fani za Ufundi
Next Article Maganga Atembelea Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu, Maonesho Ya Wiki Ya Vijana Mbeya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025
Habari May 29, 2026
NHC Kuendelea Kutekeleza Miradi Mikubwa Ya Kimkakati Ya Ujenzi Wa Nyumba
Habari May 28, 2026
Kutokulipa Kodi Ya Pango La Ardhi Unakosa Sifa Za Kugombea Nafasi Za Uongozi
Habari May 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?