MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa
Habari

TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU), kinapigania Mkataba wa Hali Bora za Kazi kwa Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kwa miaka 11 sasa.

Naibu Katibu Mkuu wa TRAWU, Edo Makata amesema hayo alipozungumza na Gazeti la Mfanyakazi.

Malola amesema tokea 2013 TRC ilipovunja mkataba na wafanyakazi wake  kutokana na sababu za kisheria, kesi iliendeshwa mahakamani mpaka 2020 ambapo mwajiri alitakiwa kukaa nao ili kutengeneza mkataba.

“Tumeanza mazungumzo na tayari tunayo nakala ya kuanzia mahali ambapo tunaweza tukaingia mkataba, na tayari tupo kwenye hatua fulani upande wa serikali na mazungumzo yanaendelea.
“Tunaamini kwamba mkataba wa hali bora unaweza kufikiwa kwa wafanyakazi wa TRC lakini imekuwa ni changamoto kubwa,” amesema.
Amesema upande wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), suala la mkataba na hali bora limekuwa likizingatiwa kwa wakati.

You Might Also Like

TAKUKURU kuelimisha madhara ya rushwa wakati wa uchaguzi

NSSF Kutekeleza Mradi Wa Uwekezaji Wa Jengo La Kitega Uchumi Dodoma

December 5, 2024

TEHAMA Kuchochea Uchumi wa Kidijitali, Serikali Yatenga Sh Bil Tano Kwa Kampuni Changa

Imarisheni Mkakati Wa Kusimamia Usafi Wa Mazingira-Mhagama

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi
Next Article Sheria ya ajira, mahusiano kazini ipitiwe upya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Diwani Kata Ya Majengo Awasihi Wananchi Kufanya Kazi Kwa Bidii
Habari February 16, 2026
Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi
Habari February 14, 2026
Makamu wa Rais Asisitiza Ubunifu, Uwekezaji Soko La Hisa La Dar es Salaam
Habari February 13, 2026
JAB Yasisitiza Ithibati Kama Njia ya Kuimarisha Ubora na Uaminifu wa Habari
Habari February 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?