MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: JOWUTA Yataka Wanahabari Wasajiliwe WCF
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > JOWUTA Yataka Wanahabari Wasajiliwe WCF
Habari

JOWUTA Yataka Wanahabari Wasajiliwe WCF

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) kimewataka wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhakikisha wanahabari wote wanasajiliwa katika Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) ili waweze kunufaika na mafao mbalimbali yanayotolewa na mfuko huo.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa wanachama wa JOWUTA kuhusu haki za fidia kwa wafanyakazi yaliyofanyika Mei 25, 2025 jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa JOWUTA, Mussa Juma, amesema waajiri wana wajibu wa kuzingatia sheria za kazi kwa kuwapatia wanahabari ajira za kudumu au mikataba rasmi.
Habari Picha 12223
Amesema kukosekana kwa usajili na mikataba ya ajira kunawanyima wanahabari haki muhimu, ikiwamo huduma za matibabu, fidia ya ulemavu, msaada wa mazishi na mafao kwa wategemezi pale mfanyakazi anapofariki akiwa kazini.
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa kwa ushirikiano kati ya JOWUTA na WCF, yamewakutanisha wanachama kutoka mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu haki za wafanyakazi katika sekta ya habai
Habari Picha 12224
Amesema mafunzo hayo ni mwanzo wa mpango wa kutoa elimu hiyo katika kanda nyingine za nchi, ikiwamo Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini.
Aidha, ameipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Kazi kwa jitihada za kushughulikia changamoto za wanahabari nchini.
Amebainisha kuwa zaidi ya asilimia 70 ya wanahabari hawana ajira za kudumu, hali inayohitaji hatua za haraka za kisheria na kiutendaji ili kulinda haki zao.
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa kwa ushirikiano kati ya JOWUTA na WCF, yamewakutanisha wanachama kutoka mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu haki za wafanyakazi katika sekta ya habai
Habari Picha 12225
Habari Picha 12226

You Might Also Like

Usekelege: Kati ya Migogoro Tunayoipokea Ipo ya Wafanyakazi Majumbani

Sagini Amwelezea Kaluta Amir Abeid Ni Alama Ya Kuigwa

TRA Kupambana Na Wakwepa Kodi Kupitia Bandari Bubu

TUGHE: Wafanyakazi wapewe haki ya kujiunga vyama vya wafanyakazi

Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Teknolojia ya Kuvuna Sumu ya Nyuki Yafungua Fursa Mpya Tanzania
Next Article TUCTA Yawataka Wanahabari Kueneza Elimu ya Fidia kwa Wafanyakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Ziwa Ngozi Lavuta Mamia Sabasaba, Wageni Washangazwa Na Ramani Ya Afrika Juu Ya Mlima
Habari July 9, 2026
Shirika La Uzalishaji Mali La Polisi Kujenga Vituo Vya Ukaguzi Wa Vyombo Vya Moto
Habari July 9, 2026
Watumishi 7881 Watakaostaafu 2026/27 Watambuliwa Kupitia Kampeni Ya Tunalipa Jana-PSSF
Uncategorized July 8, 2026
Katambi Apongeza Zimamoto Kwa Uwekezaji Wa Vifaa Vya Kisasa
Uncategorized July 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?