MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TASAC Yashuhudia Utiaji Saini  Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TASAC Yashuhudia Utiaji Saini  Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala
Habari

TASAC Yashuhudia Utiaji Saini  Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) leo Julai 28, 2025, limeshuhudia utiaji saini wa makubaliano ya pamoja kati ya taasisi sita kuhusu uendeshaji wa Bandari Kavu ya Kwala, hafla iliyofanyika Ukumbii wa Mikutano wa Bandari.
Makubaliano hayo yanalenga kuratibu uhamasishaji, uhifadhi na ukabidhiwaji wa mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda Bandari Kavu ya Kwala, ikiwa ni hatua muhimu katika kuongeza ufanisi wa shughuli za bandari nchini.
Mkurugenzi Mkuu TASAC, Mohammed Salum amesema tukio hilo linaonesha mshikamano wa kiudhibiti na uwazi katika maandalizi ya nyaraka muhimu za uendeshaji wa bandari.
Amesema miongozo ya kiudhibiti inalenga kuhakikisha  bandari kavu haziathiri shughuli za kiuchumi na kijamii jijini Dar es Salaam.
Amesema  maeneo ya bandari kavu yanatakiwa kuwa na miundombinu ya kisasa ikiwemo reli na vifaa vya kutosha kuhudumia shehena, sambamba na kuwepo umbali wa angalau kilomita 30 kutoka bandari kuu ili kupunguza msongamano na kulinda usalama wa wakazi.
Aidha ametoa wito kwa wananchi kuunga mkono mpango huo, akisema kuwa uhamishaji wa mizigo kwenda Kwala ni fursa ya kuongeza ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam.
Taasisi zilizotia saini ni pamoja na
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),
Chama cha Mawakala wa Meli Tanzania (TASAA), Kampuni ya DP World na Tanzania East Africa Gateway Terminal Limited (TEAGTL)

You Might Also Like

Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu

Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli

AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo

PSSSF Yapongezwa kwa Kutoa Elimu ya Hifadhi ya Jamii Wiki ya Utumishi wa Umma

Ruhuka: Mdudu Anayetishia Zao la Kahawa, TARI Yaja na Suluhisho

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkutano Maalum wa CCM Kufanyika Kesho Mtandaoni
Next Article Wafanyakazi Majumbani Walia: ‘Tunaishi Katika Mazingira Hatarishi’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
TANESCO Kutambulisha Mfumo Wa Kufunga Nyaya Kwenye Nyumba Ukifuatilia Matumizi Ya Umeme
Habari July 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?