MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TASAC Yashuhudia Utiaji Saini  Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TASAC Yashuhudia Utiaji Saini  Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala
Habari

TASAC Yashuhudia Utiaji Saini  Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) leo Julai 28, 2025, limeshuhudia utiaji saini wa makubaliano ya pamoja kati ya taasisi sita kuhusu uendeshaji wa Bandari Kavu ya Kwala, hafla iliyofanyika Ukumbii wa Mikutano wa Bandari.
Makubaliano hayo yanalenga kuratibu uhamasishaji, uhifadhi na ukabidhiwaji wa mizigo kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda Bandari Kavu ya Kwala, ikiwa ni hatua muhimu katika kuongeza ufanisi wa shughuli za bandari nchini.
Mkurugenzi Mkuu TASAC, Mohammed Salum amesema tukio hilo linaonesha mshikamano wa kiudhibiti na uwazi katika maandalizi ya nyaraka muhimu za uendeshaji wa bandari.
Amesema miongozo ya kiudhibiti inalenga kuhakikisha  bandari kavu haziathiri shughuli za kiuchumi na kijamii jijini Dar es Salaam.
Amesema  maeneo ya bandari kavu yanatakiwa kuwa na miundombinu ya kisasa ikiwemo reli na vifaa vya kutosha kuhudumia shehena, sambamba na kuwepo umbali wa angalau kilomita 30 kutoka bandari kuu ili kupunguza msongamano na kulinda usalama wa wakazi.
Aidha ametoa wito kwa wananchi kuunga mkono mpango huo, akisema kuwa uhamishaji wa mizigo kwenda Kwala ni fursa ya kuongeza ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam.
Taasisi zilizotia saini ni pamoja na
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),
Chama cha Mawakala wa Meli Tanzania (TASAA), Kampuni ya DP World na Tanzania East Africa Gateway Terminal Limited (TEAGTL)

You Might Also Like

Chatanda: Rais Ametuletea Kiongozi Bora Atakayetusaidia Kutekeleza Ilani Ya CCM

Waziri Mkuu Kumwakilisha Dkt Samia Ivory Coast

 Rais Samia aipongeza REA

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

Miradi iliyokamilika ianze kutoa huduma- Nyamoga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkutano Maalum wa CCM Kufanyika Kesho Mtandaoni
Next Article Wafanyakazi Majumbani Walia: ‘Tunaishi Katika Mazingira Hatarishi’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kisasa Design: Kampuni ya Kitanzania Inayobadilisha Sekta ya Interior Design na Utengenezaji wa Samani
Habari June 6, 2026
Vidukari Hatari Vyafuatiliwa Mikoa 17 Kulinda Zao la Mpunga
Makala June 5, 2026
KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI
Habari June 5, 2026
Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?