MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Spika Tulia Aunguruma UDSM, Kongamano La Uhuru Wa Wana Taaluma Afrika.
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Spika Tulia Aunguruma UDSM, Kongamano La Uhuru Wa Wana Taaluma Afrika.
Habari

Spika Tulia Aunguruma UDSM, Kongamano La Uhuru Wa Wana Taaluma Afrika.

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: BUNGE lipo tayari kuishauri serikali kwenye eneo la kisera ambalo halijakaa sawa ili lifanyiwe maboresho.
Aidha kwa upande wa sheria bunge lipo tayari kuibadili ili nchi iweze kupiga hatua.

Spika wa Bunge Tulia Ackson amesema hayo wakati akifungua Kongamano la Uhuru wa Wana Taaluma katika Afrika linalofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  (UDSM).
Amesema,” Lazima wanataaluma kila mmoja kwenye taaluma yake, mawazo wanayoyafikiria watuletee ili kwenye jamii yetu tuweze kusonga mbele, tuweze kupiga hatua,”.
Amesema wanataaluma hao watapata nafasi ya kujadili uhuru wa kusema mawazo yao kwa sababu wao ni watu wa utafiti, kujaribu kusema ule utafiti walioufanya na mambo ambayo wanatarajia kufanya kwenye jamii.
.
” Zile changamoto walizosema wanataaluma hawa, mojawapo ni kuangalia namna ya wanavyoweza kuingiliwa na wanasiasa lakini viongozi wa kiserikali,
” Uhuru wa wanataaluma usiwe unaingiliwa na serikali, wana siasa hata wao kwa wao wameweza kufanya kazi kwa uhuru. Hata wao sasa hivi wanakiri umevuka mipaka ya kujadili na kusema,” amesema.
Amekiri kuwa watu wanaofundisha vyuo vikuu wana uwezo wa kufikiri, kuwa na mawazo mapya na ndio maana wanabakishwa vyuo vikuu.
“Ni watu ambao wana akili nyingi tuseme ule uhalisia,” amesema.
Naye Rasi wa Ndaki ya Sayansi za Jamii UDSM, Profesa Christine Noe amesema mkutano huo wanarejea makubaliano waliyokubaliana kwa kuwa wanaona taaluma na wanataaluma sauti zao zimepotea na jamii inaona kuna umbwe wanataaluma hawapo tena.
Profesa Noe amesema, ” Jamii haisikii matukio makubwa yanayoendelea, taaluma na wana taaluma hawasemi kwa sauti zinazosikika wakati huo tunafanya tafiti sana, tunaandika machapisho mengi lakini jamii inakosa ile taaluma,
“Viongozi nao wanakosa kujua kile tunachokifanya , tunajitathmini kazi yetu inakuja, sauti zetu hazisikiki, matokeo ya kazi yetu hayaendi mbali,” amesema.
Kongamano hilo limeanza leo Aprili 29 hadi Mei 2, 2025 limeandaliwa na Ndaki ya Sayansi za Jamii UDSM kwa ushirikiano na Kanseli ya Maendeleo ya Utafiti katika Sayansi za Jamii  (CODESRIA).

You Might Also Like

OUT Yasaini Mkataba Ujenzi Wa Maabara Tatu Za Sayansi

Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri

Serikali Yaahidi Kupatia Dawa Kilio Cha Ushuru Kwa Malori

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Spika Tulia Kufungua Kongamano La Uhuru Wa Wanataaluma Afrika UDSM
Next Article Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?