MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa
Habari

Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt Maduhu Kazi amewataka Watumishi wa Wizara hiyo kutambua umuhimu wa Mazoezi katika kuimarisha afya, kuweka watu pamoja hivyo kuimarisha upendo na mshikamano baina ya Watumishi
Dkt. Maduhu amesema hayo alipokua akizindua programu ya Mazoezi kwa Watumishi wa Wizara hiyo iliyofanyika jijini Dodoma katika uwanja wa Shule ya Msingi Dodoma Mlimani.
Pia ameipongeza Menejimenti ya Wizara kwa kutoa fursa hiyo itakayosaidia kuimarisha na kuboresha afya za watumishi kupitia Mazoezi.
Vilevile amewasisitiza watumishi kutumia nafasi hiyo kushiriki kwenye Mazoezi hayo yatakayokuwa yakifanyika mara mbili kwa wiki kila siku ya Jumanne na Alhamisi kuanzia saa 10 Alasiri
“Napenda kuchukua nafasi hii kuwasisitiza Watumishi wote kushiriki Mazoezi haya kila wiki kwa watumishi waliopo hapa Dodoma na kwa wale walipo nje ya Dodoma,” amesema.
Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Hilda Tegwa ameelekeza maeneo yatakayotumika kufanya nazoezi hayo.

You Might Also Like

Tumeridhika na kazi za TTCL – Mwanaisha

TARI Yanufaisha Wadau Wa Kilimo, Ugunduzi Wa Mbegu Bora Na Za Kisas

TARI Yawaalika Wakulima Kujifunza Teknolojia Bora 88 Mkoani Morogoro

Ridhiwan Azindua Jengo La Biashara La TUCTA-Arusha

Tanzania Yazindua Mkakati wa Taifa wa Usimamizi Na Uendelevu wa Mikoko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yanadi Nishati Kimataifa
Next Article Trump Ashinda Uchaguzi Marekani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?