MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Profesa Kitila Ataja Sababu Za Watanzania  Kumchagua Dkt Samia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Profesa Kitila Ataja Sababu Za Watanzania  Kumchagua Dkt Samia
Habari

Profesa Kitila Ataja Sababu Za Watanzania  Kumchagua Dkt Samia

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Lyatuu
MGOMBEA  Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Profesa Kitila  Mkumbo amesema watanzania wanayo kila sababu ya kumchagua mgombea Urais anayetokana na CCM  Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa alizofanya katika awamu yake ya kwanza ikiwemo kuwahakikishia watanzania amani, usalama na Utulivu.
Habari Picha 9272
Akizindua kampeni katika Jimbo la Ubungo leo septemba  06,2025 Profesa Kitila amesema ndani ya kipindi cha miaka minne na nusu aliyoongoza Rais Dkt  Samia Tanzania imeshuhudiwa ikiendelea kuwa Nchi yenye Amani zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Afrika ya Kati.
Habari Picha 9273
Amesema pia Dk. Samia ametekeleza kikamilifu Ilani ya CCM kwa kujenga miundombunu ya barabara, reli, madaraja na kukuza biashara na uwekezaji.
Habari Picha 9274
Habari Picha 9276
Habari Picha 9277

Habari Picha 9275

You Might Also Like

Silinde: Serikali bega kwa bega na wadau wa kilimo

Tume ya Kurekebisha Sheria Yatoa Onyo Kali kwa Wanaovunja Sheria za Umwagiliaji

Kafulila: Deni La Taifa Ni Himilivu

Kanisa La GCC Kufanya Maombi Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Ridhiwani Awataka Wananchi Kuboresha Taarifa Zao Tayari Kwa Uchaguzi Mkuu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kasulu Yaandaa Bonanza La Michezo Kuhamasisha Uchaguzi Mkuu, Mapokezi Ya Mwenge
Next Article Wahitimu 3,561 wa Mafunzo Ya Huduma Za Afya Ngazi Ya Jamii,Wapatiwa Vitendea Kazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi
Habari September 12, 2025
Manara: Sitapambana na Wafanyabiashara, Nitawatetea
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?