MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao
Habari

Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

TUME ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), imeagizwa kutoa mafunzo ya Mfumo wa Uendeshaji na Usimamizi wa Mashauri kwa Njia ya Mtandao kwa wafanyakazi, waajiri, mawakili, wawakilishi binafsi na jamii yote waelewe umuhimu na matumizi yake.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Protrobas Katambi ameagiza hayo wakati wa ufunguzi wa nafunzo ya mfumo huo kwa wadau wa tume hiyo.
Katambi amesema, mfumo huo ni mkakati wa serikali sio wa kurahisisha huduma kwa wananchi pekee, bali kusogeza huduma za utatuzi wa migogoro karibu na wananchi.
“Mara kadhaa serikali kupitia wizara yetu imepambania sana bungeni kuhakikisha mradi huu unakamilika.
“Na Kamati ya Bunge, Ustawi na Maendeleo ya Jamii inasubiri kwa hamu kuona mfumo huu unaanza kazi maana imekuwa ikituhoji na kutufuatilia kwa karibu,” amesema.
Maelezo yake ni kwamba, baada ya mafunzo ya wadau, tume hiyo itapanga siku ya kuipitisha kamati hiyo kwenye mfumo kabla ya kuanza matumizi ili wabunge wapate uelewa wa namna mfumo utakavyofanya kazi na kuleta tija kwa wananchi hususani wadau wa haki-kazi.
Awali Mkurugenzi wa CMA, Usekelege Mpulla amesema, mafunzo hayo ni utekelezaji wa maagizo na mkakati wa serikali na maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan akisisitiza kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi.
Pia Rais Samia amesisitiza kutumia mifumo inayosomana, vike vile upatikanaji wa huduma ama migogoro ya kazi kwa haraka.

You Might Also Like

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Serikali yazindua Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii na ‘Hifadhi Scheme’ kwa Waliojiajiri

TARURA Yatenga Milioni 580 Kuboresha Barabara Zinazohudumia Sekta ya Madini Geita

Madereva Mabasi YA Kukodi Waitwa LATRA Kabla YA Januari 12, Mwaka Huu

TIC Yapaa Kiuchumi Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia afungua kikao kazi cha watendaji serikalini
Next Article Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kisasa Design: Kampuni ya Kitanzania Inayobadilisha Sekta ya Interior Design na Utengenezaji wa Samani
Habari June 6, 2026
Vidukari Hatari Vyafuatiliwa Mikoa 17 Kulinda Zao la Mpunga
Makala June 5, 2026
KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI
Habari June 5, 2026
Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?