MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwandishi Lucy Ngowi Miongoni mwa Waliong’ara Mei Mosi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwandishi Lucy Ngowi Miongoni mwa Waliong’ara Mei Mosi
Habari

Mwandishi Lucy Ngowi Miongoni mwa Waliong’ara Mei Mosi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu, Njombe
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza wafanyakazi waliofanya vizuri na kutunukiwa zawadi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) 2026, yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe.
Katika hafla hiyo, Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari (JOWUTA) kiliwatambua wanahabari sita kwa umahiri wao.
Miongoni mwa waliopata tuzo ya kitaifa ni Idda Mushi wa ITV na Radio One, aliyekabidhiwa tuzo na Rais Samia, pamoja na mwandishi mwandamizi Lucy Ngowi wa Gazeti la Mfanyakazi.
Habari Picha 11947
Wanahabari wengine waliotambuliwa na JOWUTA ni Alfred Zakaria (The Respondents), Tamali Vullu (Mwananchi – Dar es Salaam), Ashura Ibrahim Kazinja (Mtanzania Digital – Morogoro) na Rashid Mtagaluka (Pambazuko).
Akizungumza katika maadhimisho hayo, Rais Samia amewataka wafanyakazi nchini kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuchochea ukuaji wa uchumi.
Amesisitiza kuwa Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya watumishi kadri uchumi unavyoruhusu, huku akiahidi hatua zaidi za kuimarisha ustawi wa wafanyakazi.
“Ndugu zangu chapeni kazi, Serikali ipo, inawasikiliza na inawathamini. Tushirikiane na kutanguliza maslahi ya Taifa,” amesema.
Aidha, Rais Samia ameonya kuwa tofauti zisigeuke chanzo cha kuvuruga amani, akisisitiza umuhimu wa umoja, mshikamano na utulivu kwa maendeleo ya Taifa.
Awali, Rais wa TUCTA, Tumaini Nyamuhokya, amesema wafanyakazi wataendelea kushirikiana na Serikali kuboresha mazingira ya kazi.
Amemshukuru Rais kwa kuongeza mishahara na kushughulikia madai ya wafanyakazi, ikiwemo zaidi ya Sh. Bilioni mbili zilizotolewa kulipa madeni ya wafanyakazi wa TAZARA.
Kwa upande wake, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba aliwataka wafanyakazi kuwa wavumilivu wakati Serikali ikiendelea kutatua changamoto mbalimbali na kuboresha uchumi.
Mwenyekiti wa JOWUTA, Mussa Juma, amesema chama hicho kimeshiriki kwa mara ya kwanza katika maadhimisho ya Mei Mosi na kimeanza kutoa tuzo kwa wanahabari.
Ameongeza kuwa mwaka ujao wataongeza wigo wa tuzo na kutoa mafunzo kwa wanachama, ikiwemo masuala ya bima ya afya na uwekaji akiba.

You Might Also Like

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG

FCC Yatatua Kero 63  Za Walaji

Sheria Ya Kupata  Taarifa, Ya NGOs Zina Upungufu 

Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania yaendelea kuwa Shule ya Utumishi Barani Afrika,
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tanzania yaendelea kuwa Shule ya Utumishi Barani Afrika,
Habari April 29, 2026
Wizara Ya Kilimo Yaomba Bunge Kuidhinisha Trilioni 1.1,Yaweka Mikakati Kuimarisha Sekta Hiyo
Habari April 28, 2026
NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari April 27, 2026
TUCTA: Waajiri Watekeeze Nyongeza Ya Kima cha Mishahara Sekta Binafsi
Habari April 27, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?