MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha
Habari

Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KIGOMA: IKIWA zimebakia siku mbili kabla ya kufungwa kwa uandikishwaji katika Daftari la Mkazi Oktoba 20, 2024 wananchi wametakiwa kutumia muda ulobaki kujiandikisha.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Dkt. Semistatus Mashimba  amewataka wananchi hao kujiandikisha ili waweze kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024.
Amesema hayo alipokuwa akizungumza katika Kituo Kimoja cha Radio, mkoani Kigoma.
Amesema licha ya msimu huu kuwa wa kilimo mkoani hapo,mchakato wa uandikishaji unaendelea vizuri.
“Mwanzoni uandikishwaji ulikuwa  na changamoto kwa sababu baadhi ya wananchi walijikita kwenye maandaizi ya kilimo  ili kuandaa mashamba yao,
Lakini hivi sasa uandikishwaji unaaendelea vizuri kwa wananchi kwenda kujiandikisha katika vituo mbalimbali tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzoni.
Pia amesema idadi ya kujiandikisha kwa vijana ilikuwa si ya kuridhisha lakini kupitia hamasa mbalimbali zilizofanywa kwa sasa idadi yao inaridhisha tofauti na  awali.

You Might Also Like

TARI Mlingano Yaleta Mapinduzi ya Mkonge, Viungo na Sayansi ya Udongo Tanzania

Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya

Maboresho Mfumo wa Sheria Zinazosimamia Uwekezaji Kuchochea Uwekezaji Nchini

TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni

Tanzania Yaibuka Kidedea Maonesho Zambia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi
Next Article Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?