MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kassim Majaliwa Mgeni Rasmi Miaka 30 VETA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kassim Majaliwa Mgeni Rasmi Miaka 30 VETA
Habari

Kassim Majaliwa Mgeni Rasmi Miaka 30 VETA

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), tangu kuanzishwa kwake mwaka 1994.

Pamoja na miaka 50 ya utoaji wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi kupitia taasisi mbalimbaliza serikali nchini.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema hayo leo Machi 5. 2025 alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maadhimisho hayo ambayo kilele chake kitaadhimishwa kwa siku nne kuanzia Machi 18 hadi 21, Katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC), Mkoani Dar es Salaam.

Profesa Mkenda amesema katika maadhimisho hayo shughuli mbalimbali zitafanyika ikiwemo kutoa huduma kwa jamii zinazoendana na shughuli za ufundi na ufundi stadi ikiwem kupaka rangi majengo ya umma kama Hospitali na Zahanati.

“Pia kukarabati majengo ya shule, kuonesha maonesho ya ubunifu wa teknolojia, kuendesha mashindano ya ujuzi, kutoa tuzo na vyeti vya heshima kwa watu mbalimbali kwa mchango wao katika shughuli za maendeleo ya mafunzo ya ufundi na ufundi stadi nchini,” amesema.

You Might Also Like

MAIPAC NA THRDC Watoa Mafunzo Kwa Waandishi Wa Habari Za Mazingira, Kanda Ya Ziwa

Utekelezaji Mradi Mkubwa Wa Maji Mwanza Wafikia Asilimia 35

ADA-TADEA Yamsimamisha Uanachama Mgombea Mwenza, Yajaza Nafasi Zilizo Wazi

December 5, 2024

Limeni mkonge unalipa – Maghali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Sekta Ya Madini Yapaisha Pato La Taifa
Next Article Rais Samia Amehakikisha Elimu Ya Ufundi Stadi Inafikia Vijana Wote – Mkenda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume Ya Ulinzi Wa Taarifa Binafsi Yatoa Siku Saba Kwa Taasisi Kujisajili
Habari June 12, 2026
Teknolojia Ya Juisi YA Ndizi Kali Yafungua Fursa Mpya Za Viwanda, Ajira
Makala Uncategorized June 12, 2026
Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?