MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima
Habari

Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA:MFUMO wa kidijitali umeanza kutumika katika kupima mahindi ili kuleta tija kwa mkulima.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Uhifadhi wa Chakula nchini ( NFRA), Dkt. Andrew Komba amesema hayo katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yaliyoanza Agosti mosi na kufikia kilele chake Agosti nane, mwaka huu.
Amesema mfumo huo wa kidijitali  unaonesha namna ambavyo mkulima atapata faida na uhakika wa mazao anayouza NFRA.
“Wakulima wameipokea mizani hii vizuri wakiamini kwamba inawawezesha kupata kiwango sahihi wanachotuuzia na sisi kwetu inatupa  kumbukumbu sahihi kwa sababu inaingiza taarifa katika mfumo ambao unatumika katika suala zima la kuhifadhi,” amesema.
Pia amesema ,Wakala huo una jukumu la kuhakikisha nchi inakuwa na usalama wa chakula .
Kwa mujibu wa Dkt.Komba,ili kulitekeleza jukumu hilo NFRA wamekuwa wakinunua na kukusanya chakula na kuhifadhi vizuri kwa utaratibu wa kuhakikisha afya na usalama wa mlaji.
“Ili kuhakikisha chakula kinakuwa salama wakati wote ,tunatumia maghala na vihenge katika kuhifadhi chakula,lakini pia tunawafundisha wakulima kuhifadhi chakula wanacholima katika hali ya usalama badala ya kuhifadhi kizamani.”amesema Dkt.Komba
Maelezo yake ni kwamba, chakula wanachohifadhi kinalenga kuisaidia jamii pale panapotokea uhaba wa chakula na kuwafanya wawe na uhakika wa chakula.

You Might Also Like

CHAUMMA kuanzisha mjadala wa elimu ndani ya siku 100

TTCL Kuboresha Mifumo Kwa Kutumia Teknolojia Za Kisasa

Kanisa La GCC Kufanya Maombi Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Aprili 2025 Matokeo Awamu Ya Kwanza, Maoni Dira Ya Taifa Na Maendeleo 2050 Kutolewa

Mkuu Wa Wilaya Komba Aitaka DIB Kuongeza Ulinzi Kwa Fedha Za Wananchi Katika Vikoba, SACCOS

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt. Bwana: Tunafanya utafiti wa mbegu kutatua changamoto za wakulima
Next Article
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?