MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading:  DIB Kulinda Fedha Za Wawekaji Amana Katika Taasisi Za Fedha
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari >  DIB Kulinda Fedha Za Wawekaji Amana Katika Taasisi Za Fedha
Habari

 DIB Kulinda Fedha Za Wawekaji Amana Katika Taasisi Za Fedha

Author
By Author
Share
3 Min Read
 Na Lucy Lyatuu,Dodoma
BODI Ya Bima  Ya Amana Tanzania  (DIB) imewataka  wananchi kutembelea banda la lao lililoko katika maonesho ya Nanenane,jijini Dodoma  ili kupata elimu kuhusu  mfumo wa Bima ya Amana unaolenga kulinda fedha za wawekaji wa amana katika taasisi za fedha zilizo chini ya mfumo huo.
Mkurugenzi  Mkuu wa DIB,Isack Kihwili amesema hayo wakati akizungumza  baada ya kutembelea banda hilo lililoko katika maonesho ya Nanenane.
 Amesema wananchi wanaoweka fedha katika taasisi zisizo na leseni ya BoT wanajiweka katika hatari ya kutokuwa na uhakika wa kupata fidia endapo taasisi hizo zitashindwa kuendelea na shughuli zake.
Amesema utaratibu huo umeonyesha umuhimu wake kupitia wateja wa Benki ya FBME ambao walinufaika na mfumo wa fidia uliowekwa na Serikali. Kihwili amewataka pia wawekaji wa amana wa FBME ambao bado wana madai kufika katika banda la DIB kuwasilisha madai yao, ambapo watapatiwa fomu maalumu za kujaza kwa ajili ya kuanza mchakato wa kushughulikiwa kwa madai yao.
Habari Picha 13028
 Amewataka wananchi kuwa makini katika kuchagua taasisi za fedha wanazoweka fedha zao, akisisitiza umuhimu wa kutumia benki na taasisi zilizopewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili kulinda haki zao za kupata fidia endapo taasisi hizo zitakumbwa na changamoto za kifedha
Kuhusu mchakato wa ufilisi wa benki ya  FBME, Kihwili amesema sheria imeweka utaratibu maalumu wa namna madai yanavyolipwa, ambapo gharama za ufilisi, kodi pale zinapohusika na stahiki za wafanyakazi huzingatiwa kabla ya kushughulikia makundi mengine ya wadai.
“Wenye amana ni miongoni mwa wanaoshughulikiwa katika utaratibu huo, huku kukiwa na makundi mengine ya wadai, wakiwemo waliokuwa wamefungua kesi dhidi ya benki hiyo na kushinda, pamoja na wazabuni,” amesema.
Kihwili amesema wateja wa FBME ambao si wenye amana, wakiwemo wadai waliokwenda mahakamani kudai fedha zao, hawatalipwa katika awamu ya sasa inayolenga kuwalipa wenye amana.
Hata hivyo, amesema DIB inaendelea kufuatilia na kutambua mali za benki hiyo ili kuhakikisha mali zitakazopatikana zinatumika kulipa wadai wengine kwa mujibu wa sheria na kwa kuzingatia kiasi kitakachopatikana.
Amesema mara baada ya kukamilika kwa kazi ya  kutambua na kupata mali za FBME kwa kiwango kinachowezesha malipo, wadai watatangaziwa na kupewa utaratibu wa malipo kulingana na fedha zitakazopatikana.
“Kwa msingi huo, amewataka wananchi kutumia fursa ya elimu inayotolewa na DIB ili kuelewa haki zao kama wawekaji wa amana na kuhakikisha fedha zao zinawekwa katika taasisi za fedha zilizoidhinishwa na mamlaka husika”, amesema.

You Might Also Like

JOWUTA Yataka Sheria Za Kazi Kuwalinda Wafanyakazi Katika Vyombo Vya Habari

Watanzania Tuendelee Kudumisha Amani-Dk Biteko

Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar Atoa Rai Kuhusu Afya ya Akili kwa Vijana

Kipanga: Lugha ya Kichina Inakuza Diplomasia, Kuimarisha Uhusiano

Serikali Kuendelea Kutatua Changamoto Sekta Ya Uwekezaji Nchini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TAFIRI Yaleta Mageuzi Makubwa Ya Uvuvi Kupitia Teknolojia Ya Satelite
Next Article Bidhaa Zinazozalishwa Nchini Zifikie Viwango Vinavyotakiwa Kukidhi Masoko-Balozi Mussa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bidhaa Zinazozalishwa Nchini Zifikie Viwango Vinavyotakiwa Kukidhi Masoko-Balozi Mussa
Habari August 2, 2026
TAFIRI Yaleta Mageuzi Makubwa Ya Uvuvi Kupitia Teknolojia Ya Satelite
Habari August 2, 2026
TADB Yapongezwa Kwa Kuuongeza Uzalishaji Wa Mazao Nchini,Kuinua Kipato
Habari August 2, 2026
SmartDarasa: Tunda la Miaka 40 ya COSTECH Linalobadili Elimu ya Sayansi Tanzania
Makala August 1, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?