MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CMA Inasaidia Vijana Kuwa Na Nafasi Bora Kazini
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CMA Inasaidia Vijana Kuwa Na Nafasi Bora Kazini
Habari

CMA Inasaidia Vijana Kuwa Na Nafasi Bora Kazini

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Kaimu Mkurugenzi Usuluhishi Awazungumzia

Na Lucy Ngowi

TUME ya Usuluhishi na Uamuzi ( CMA), inasaidia vijana kuwa na nafasi bora kazini, pia ina wajibu wa kutatua migogoro ya kikazi. .
Aidha utatuzi wa migogoro  ya kikazi kwa vijana, itawasaidia kuendelea na uzalishaji kwa ajili ya kupata kipato.
Kaimu Mkurugenzi  wa Usuluhishi CMA, Rodney Matalis amesema hayo alipokuwa akizungumza na Mfanyakazi kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Vijana.
Amesema CMA inajenga uelewa na utatuzi wa migogoro ya kikazi kwa vijana, kuwezesha ustawi wa vijana na taifa kwa kuwa watajikita katika uzalishaji mali.
Amesema katika kuwasaidia vijana ushirikiano kati ya vijana na waajiri unahitajika ili kuelewa mitazamo tofauti pamoja na kutafuta suluhu za kudumu.
“Vijana ni nguvu kazi kubwa katika kujenga  uchumi hivyo tume ina wajibu wa kuhakikisha migogoro inayopelekwa na vijana inasikilizwa kwa njia ya usuluhishi kwa sababu,
” Inaharakisha utatuzi wa migogoro na kuwafanya vijana kujikita na shughuli za uzalishaji mali,” amesema.
Amesema katika kuhakikisha nguvu kazi hiyo inatumika kikamilifu ni wajibu wa tume hiyo kuwaelimisha vijana juu ya umuhimu wa usuluhishi,
Lengo likiwa ni kukuza uchumi kwa kuangalia kuwa kundi hilo ni kubwa hivyo likipata uelewa wa utatuzi wa migogoro ya kikazi kwa njia ya usuluhishi litafungua fursa mpya za ajira kwa sababu migogoro mingi itasuluhishwa na kuvutia uwekezaji.
“Pia kuwasaidia vijana kujifunza mbinu za usuluhishi wa migogoro ya kikazi kutawajengea uwezo wa kukabiliana na changamoto zinazoibuka mahala pa kazi,” amesema.

You Might Also Like

BRAC Tanzania: Upo Umuhimu Sekta Binafsi, Serikali Kushirikiana

Samia akisalimiana na Rais wa China

Dendego Achangisha Bilioni 1.7, Ujenzi Ofisi Ya CCM

Rais Samia Ni Mama Wa Maendeleo – Majaliwa

Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wataalam wa “Visit Finland” Wabadilishana Uzoefu Kutangaza Utalii Duniani 
Next Article GWSON yawakumbuka watoto wenye vichwa vikubwa,mgongo wazi kumbukizi ya Mwl.Nyerere
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?